mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Yeah,kazi mpyawakukutumia kazi mpya au
inahitaji uaminifu sanaYeah,kazi mpya
Kwanza una passport kma unayo passport mbona rahisi tu wenda Kampala kuna sehemu panaitwa Gazaland utapata kila kitu tunachokiitaji mkuuHabari wjamvi, Natafuta mtu kutoka mwanza mwenye uzoefu wa kwenda Uganda, Kampala kibiashara nahitaji kwenda kujumua vitu vya uremno, nijulishe tafadhali.
Mkuu nimekufata inboxPilipili manga ziko tani 4 ,Tanga Muheza.bei 9,000 kwa kilo.
Mbaazi tani 320 kutoka babatti ziko Dar kwa sasa kilo 1,650 kwa kilo.
Karafu tani 30 ,Tanga Muheza,kwa kilo 15,000.
Irick zipo kilo 200,bei 18,000 kwa kilo mzigo huko Dar.View attachment 1950856View attachment 1950854View attachment 1950857View attachment 1950855
Ninapenda nipewe connection ya biashara ya mazao ya chakula baada ya muda muafaka nije niyauze.
Natanguliza shushu
Nicheck kama unataka maharage mkuuKama utahitaji connection ya mahindi unaweza nicheki.
Niko dar es SalaamMwenye anauza Flash kwa jumla
Hard disc na Externals ukiwa Dodoma itapendeza
Hard disk 3T na 5T shingapi?Niko dar es Salaam
Kilo bei gani mkuuMkuu habari yako mimi nina dagaa wanyama hao njoo ufanye biashara.
Mie niko Singida asali yangu ni ya Tabora na Singida ni nzuri sana tuwasilianeKwa aliyeko tabora na anauza asali nyuki wadogo tufanye kitu nipo dar
Sent using Jamii Forums mobile app