Ipo nicheki 0627518825 inakaanga kuanzia kg 4 kwa Dakika kumi na tano Inatumia gesiNaombeni Kujua Hivi Kuna Mashine maakumu za Kukaangia Karanga?? Kama kuna aliye wahi pata mashine hiyo anipe uzoefu wake tafadhali
1. Je nibei gani kinunua?
2. Ina uwezo wa Kukaangia kiasi gani kwa siku ?
Je ina uwezo wa upande wa Kufungashia karanga(packaging)
Asante
Huo mchele grade gani?Nina MCHELE tani 3 bei 1300/=nipo Nzega Tabora, mwenye kuhitaji tuwasiliane 0785535354
Inaweza kukaanga korosho?Ipo nicheki 0627518825 inakaanga kuanzia kg 4 kwa Dakika kumi na tano Inatumia gesi
Aina ganiNahitaji mafuta ya kupikia, kwa bei ya jumla,
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Nenda soko la mawasiliano ubungoWakuu naomba kujua mahindi mabichi kwa wale wanaochoma barabaran wananunuaga wapi ukiwa dar?? Na kwa bei gan
Temeke stereo sokoni wanauza pia kwa jumla, kuanzia sh 180Wakuu naomba kujua mahindi mabichi kwa wale wanaochoma barabaran wananunuaga wapi ukiwa dar?? Na kwa bei gan
Wakuu mchongo wangu mliouna hapa, bado upo karibuni sana🤗Habari ya jpili wakuu,
Nauza mchele kutoka Kyela kg 20 sh 30,000/= upo kg 75.
Note:mchele hauko super as tulivoukoboresha haukutoka vizuri sana mashineni, hivo una vipunje vilivobakia japo si sana ila itabidi uuchambue tena kidogo. Ila ni pure from Kyela.
Karibuni.
View attachment 2026134
View attachment 2026136
Contact?Wakuu mchongo wangu mliouna hapa, bado upo karibuni sana[emoji847]
Karibu pm mkuu, upo Dar es salaam
Weka vipimo kwa metre bwanaNauza viwanja kisemvule ukubwa 50 kwa 40 futi bei 2ml,1.8ml,1.6ml 2.5ml ukileta mteja nakupa asilimia nzur ukileta wateja 8 nakupa uwanja mmoja karibun sana 0683715151
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Kabisa, ft ni imperial na hutumika USA, Tanzania na nchi nyingi tunatumia Metre hizo feett huwa watu hawaelewi hata kidogoo.Weka vipimo kwa metre bwana
50 kwa 40, ni kama 15m kwa 12m kiwanja kidogo mno.Kabisa, ft ni imperial na hutumika USA, Tanzania na nchi nyingi tunatumia Metre hizo feett huwa watu hawaelewi hata kidogoo.
Na huwa ni ndogo mno, kwa 80ft ni kama 24m,