Kumbe hiki kinafaa ujenzi wa chumba self sebule.50 kwa 40, ni kama 15m kwa 12m kiwanja kidogo mno.
Therealjoh.kabla ya kuweka bei ya kitu fanya kwanza uchunguzi hiZo bei unazoweka zinalandana na thamani ya kitu chako.??? Umeweka hiyo mashine ya milion 8 wakati kuanzia mil 3 hadi 5 unapata.! Je umewalenga wateja gani ambao cha juu ni milion 3 nzima.???? Je ww ni dalali au mtu wa kati ??? Bei ni juu sana .unatakiwa kuomba radhi kwenye jukwaa mana umeona watu wote ni mbumbumbu.!!!!!!!!!!!! Hata hao kct team hiyo bei hapo watakushangaaaaaaaaaa ......Kwa fundi seremala au anaeshughulika na masuala ya mbao,ninauza mashine (used).
Ipo mashine ya kuchana mbao,imported msumemo hadi inch 26(ina uwezo wa kuzalisha magogo).
Bei ya mashine ni milioni 8.
Ipo mashine ya kutobolea madirisha ya mbao (drill).
Bei ya mashine ni milioni 2.
Ipo mashine ya kuranda mbao,WadKins planer inch 28(upana).
Bei ya mashine ni milioni 11.
Mashine zote zipo katika hali nzuri ya utendaji wa kazi.
Mashine zipo Dar es salaam-Temeke.
Mawasiliano 0688 055 606 au PM.View attachment 2036504View attachment 2036505View attachment 2036506
Yes..au unajenga ila unabana mpaka becon, na jirani nae akifanya hivyo mnatengeneza buguruni ya badae, uswazi.Kumbe hiki kinafaa ujenzi wa chumba self sebule.
Pia kabla ya kuzungumza kitu jitahidi ufanye research kidogo.Therealjoh.kabla ya kuweka bei ya kitu fanya kwanza uchunguzi hiZo bei unazoweka zinalandana na thamani ya kitu chako.??? Umeweka hiyo mashine ya milion 8 wakati kuanzia mil 3 hadi 5 unapata.! Je umewalenga wateja gani ambao cha juu ni milion 3 nzima.???? Je ww ni dalali au mtu wa kati ??? Bei ni juu sana .unatakiwa kuomba radhi kwenye jukwaa mana umeona watu wote ni mbumbumbu.!!!!!!!!!!!! Hata hao kct team hiyo bei hapo watakushangaaaaaaaaaa ......
Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Kiasi gani mkuunahitaji mahindi kichele ya kusaga unga jaman
Mwenye connection wanakopatikana kuku wa kienyeji kwa ajili ya kufuga.
Hata mbili za dizaini hiyo zinakaa I thinkKumbe hiki kinafaa ujenzi wa chumba self sebule.
[emoji23][emoji23][emoji23] hiyo team ulioitaja ni balaa kwa bei ila huyu kawafunikaTherealjoh.kabla ya kuweka bei ya kitu fanya kwanza uchunguzi hiZo bei unazoweka zinalandana na thamani ya kitu chako.??? Umeweka hiyo mashine ya milion 8 wakati kuanzia mil 3 hadi 5 unapata.! Je umewalenga wateja gani ambao cha juu ni milion 3 nzima.???? Je ww ni dalali au mtu wa kati ??? Bei ni juu sana .unatakiwa kuomba radhi kwenye jukwaa mana umeona watu wote ni mbumbumbu.!!!!!!!!!!!! Hata hao kct team hiyo bei hapo watakushangaaaaaaaaaa ......
Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
UNA fundi wako mzeya akaweza nipa michoroHata mbili za dizaini hiyo zinakaa I think
Mwenye connection ya kuapakia mizigo magari makubwa tan 30 local
Sent using Jamii Forums bado unahitaji? Ninamzigo mwingi kutoka mtwara to dar
najua inapopatikanaNahitaj mifuko hii kwa wing , anayejua inakopatikanaView attachment 2039540
Kibiti, mkuranga, ikwilili yapo ya kutosha. Npange tunina uhitaji wa pasheni (passion) matunda nipo Dodoma
Biashara ya nini mkuu???😳😳Wakuu vipi biashara ya mboo za ng'ombe soko lake?