Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Kwa fundi seremala au anaeshughulika na masuala ya mbao,ninauza mashine (used).

Ipo mashine ya kuchana mbao,imported msumemo hadi inch 26(ina uwezo wa kuzalisha magogo).
Bei ya mashine ni milioni 8.


Ipo mashine ya kutobolea madirisha ya mbao (drill).
Bei ya mashine ni milioni 2.


Ipo mashine ya kuranda mbao,WadKins planer inch 28(upana).
Bei ya mashine ni milioni 11.

Mashine zote zipo katika hali nzuri ya utendaji wa kazi.

Mashine zipo Dar es salaam-Temeke.

Mawasiliano 0688 055 606 au PM.View attachment 2036504View attachment 2036505View attachment 2036506
Therealjoh.kabla ya kuweka bei ya kitu fanya kwanza uchunguzi hiZo bei unazoweka zinalandana na thamani ya kitu chako.??? Umeweka hiyo mashine ya milion 8 wakati kuanzia mil 3 hadi 5 unapata.! Je umewalenga wateja gani ambao cha juu ni milion 3 nzima.???? Je ww ni dalali au mtu wa kati ??? Bei ni juu sana .unatakiwa kuomba radhi kwenye jukwaa mana umeona watu wote ni mbumbumbu.!!!!!!!!!!!! Hata hao kct team hiyo bei hapo watakushangaaaaaaaaaa ......

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 
Therealjoh.kabla ya kuweka bei ya kitu fanya kwanza uchunguzi hiZo bei unazoweka zinalandana na thamani ya kitu chako.??? Umeweka hiyo mashine ya milion 8 wakati kuanzia mil 3 hadi 5 unapata.! Je umewalenga wateja gani ambao cha juu ni milion 3 nzima.???? Je ww ni dalali au mtu wa kati ??? Bei ni juu sana .unatakiwa kuomba radhi kwenye jukwaa mana umeona watu wote ni mbumbumbu.!!!!!!!!!!!! Hata hao kct team hiyo bei hapo watakushangaaaaaaaaaa ......

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Pia kabla ya kuzungumza kitu jitahidi ufanye research kidogo.
Jitahidi kujua mashine ni za wapi (manufacturer/made in),kwa kukusaidia tu ndugu hizo sio mashine za kuchonga ambazo nadhani ndizo ulizozizoea.

Pia mimi sio dalali.

Usikariri bidhaa kwa kuiona tu,jitahidi kujua ubora wa bidhaa kabla hujaamua kuitolea ufafanuzi.(karibu kama utahitaji kujifunza zaidi juu ya hizi mashine)

Pole kama utakuwa umekwazika.
 
Nahitaj mifuko hii kwa wing , anayejua inakopatikana
images.jpg
 
Therealjoh.kabla ya kuweka bei ya kitu fanya kwanza uchunguzi hiZo bei unazoweka zinalandana na thamani ya kitu chako.??? Umeweka hiyo mashine ya milion 8 wakati kuanzia mil 3 hadi 5 unapata.! Je umewalenga wateja gani ambao cha juu ni milion 3 nzima.???? Je ww ni dalali au mtu wa kati ??? Bei ni juu sana .unatakiwa kuomba radhi kwenye jukwaa mana umeona watu wote ni mbumbumbu.!!!!!!!!!!!! Hata hao kct team hiyo bei hapo watakushangaaaaaaaaaa ......

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] hiyo team ulioitaja ni balaa kwa bei ila huyu kawafunika
 
Naomba kujua wale machinga wanaopanga viatu vya kike pale mwenge hua wanavitoa wapi maana hua wanauza elfu tano ikizidi sn elfu 10 so naitaji kufata mzigo nami
 
Back
Top Bottom