Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Kwa wakazi wa Moshi Arusha fanyiwa wiring ya nyumba shule ukumbi wako kwa Bei rahisi

Tuna mafundi wanaoweza kufanya kazi kwa uaminifu usalama na haraka tuna leseni ya kufanya kazi za umeme ni wewe tu kutupigia happy 0623799310
 
Wakuu nauza mikeka safi na laini kabisa ya kupumzikia, kukalia au hata kulia chakula

Bei;30000/= kwa mkeka mmoja

Free delivery kwa wateja wa Dar wataochukua mikeka kuanzia miwili na kuendelea, wakazi wa mikoani utachangia nauli ya kukuagizia mzigo

Mawasiliano;0742880956 for call &wasap

Futi 6×6 na ni nzito kama zulia na hazipitishi maji

View attachment 2176230View attachment 2176229
 




Tunajishughulisha na uuzaji wa viwanja kwa square meter maeneo ya kigambo buyuni na mwembe mdogo.Kwa wenye uhitaji usisite kunitafuta Pm
Karibuni[emoji1488]Trust Solution company ltd
 
fanya biashara ya mbuzi
nunua tanga huko uzia vingunguti na tafuta wateja wa kwenye mabaa

Biashara nzuri ukitulia nayo na ukiwa ba eneo la kuwahifadhia.

Mbuzi mmoja anaeza kukupa elfu 50 na zaidi, zidisha kwa 10 hapo...
duh!
 
👍
 
Mtumba?
Huh! [emoji848]
 
wadau mwenye kufahamu bei ya gunia la viazi Mbeya na Njombe na taratibu zipoje mpaka linafika DSM,!
 
Naomba kufahamu pia bei ya mkungu wa ndizi kwa Mbeya na Moshi (ndizi aina zote), na taratibu zipoje mpaka zinafika Dar
 
jmn naomba msaada wa kujua maduka ya jumla ya biscuits, chocolate,pipi na toys yanapatikana wapi kwa dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…