Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Wakuu habari zenu, natafuta mdada wa kufanya nae kazi, naishi Arusha (tengeru) kwa sasa, nahitaji mdada ambaye atakuwa anatengeneza matunda kwenye kijiwe changu. Malipo ni kwa siku na kwa maelewano. Akiwa anaishi tengeru atanifaa zaidi.
KARIBUNI PM
 
Wakuu habari zenu, natafuta mdada wa kufanya nae kazi, naishi Arusha (tengeru) kwa sasa, nahitaji mdada ambaye atakuwa anatengeneza matunda kwenye kijiwe changu. Malipo ni kwa siku na kwa maelewano. Akiwa anaishi tengeru atanifaa zaidi.
KARIBUNI PM

Sema unataka kumla kimasihara dada wa watu
 
Mwenye connection ya wapi saa simple za mishale za watoto wanao balehe zinapatikana kwa Bei ya jumla ambapo mtaani zinauzwa 3000 anijuze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…