MANAKE MKARI
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 299
- 240
[emoji460][emoji2211]Kwa ufupi sana kuna jezi Original lakini mimi nauza Jezi Original SANA
#UziKamaJezi
Piga simu 0688938518 kupata jezi zote Kalii na Original Quality ______
Dar es Salaam free derivery [emoji736]
Mikoani tunatuma kirahisi na uhakika sana [emoji736]
Mzigo wa msimu ujao ndio unaingia hivyo! Jezi ya Manchester United na Chelsea home kits msimu ujao zina patikana hivi sasa Dukani kwetu waungwana [emoji518][emoji2089]View attachment 2229967View attachment 2229968View attachment 2229970View attachment 2229972
No IPO hapo PGA tuelekeezaneUnauzaje reja reja?
Dodoma maeneo ya mpwapwa, KongwaHabari za asubuhi
Naomba kujua mkoa gani naeza kupata karanga kwa bei rahisi, na bei yake kwa sasa?
Hebu sema vizur mkuu watu tuje mlimbaNina Kama wiki tatu huku Kuna fursa nyingi sana upande wa biashara ya mazao mchawi mtaji tu.
Ngoja nifuatilie uku nilipo ndiyo wanavunaHabari za asubuhi
Naomba kujua mkoa gani naeza kupata karanga kwa bei rahisi, na bei yake kwa sasa?
Upo wapi? Na unahitaji wingi gani?Nahitaji mchele. Ambae anao na bei ni nzuri tuwasiliane
Una milioni ngapi?na umeipataje?JAMAN NINA MILION NAHTAJ KUHAMIA MJI MWINGINE MNANISHAURI NKAFANYE BIASHARA GAN ANGALAU NIPATE KULA NA KUISHI??? View attachment 2238396
Kwa wamiliki wa stationery, hivi sasa kuna uhaba mkubwa sana wa ream paper na bei iko juu.
Karibu ujipatie Ream kwa bei ya jumla kwa tsh 85,000/= tu (mondi) na 90,000/= (double A)
Unaweza kutumiwa popote pale nchini. Duka lipo Tarime mjini (Mara). Pia vifaa mbalimbali vya stationery vinapatikana hapo.
0753052872
JAMAN NINA MILION NAHTAJ KUHAMIA MJI MWINGINE MNANISHAURI NKAFANYE BIASHARA GAN ANGALAU NIPATE KULA NA KUISHI??? View attachment 2238396
Habari za asubuhi
Naomba kujua mkoa gani naeza kupata karanga kwa bei rahisi, na bei yake kwa sasa?
Hapa sijakuelewa 90k ndo ream ngapi kwa boxKwa wamiliki wa stationery, hivi sasa kuna uhaba mkubwa sana wa ream paper na bei iko juu.
Karibu ujipatie Ream kwa bei ya jumla kwa tsh 85,000/= tu (mondi) na 90,000/= (double A)
Unaweza kutumiwa popote pale nchini. Duka lipo Tarime mjini (Mara). Pia vifaa mbalimbali vya stationery vinapatikana hapo.
0753052872
Zinakuwa ream 5Hapa sijakuelewa 90k ndo ream ngapi kwa box
Mkuu yaani kutaja bei ya bidhaa yako tena rejareja hadi tukupigie wakati humu mtu anaweza kufanya uamuzi baada ya kuona bei. Rahisisha biashara kwa kuweka bei na exact location duka lilipo ili hata mtu akijisikia kuja basi apite labda ni jirani na anapoishi.No IPO hapo PGA tuelekeezane