Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Wakuu habarini ninamtaji laki 7... nahitaji kufahamu wapi naweza pata nguo kali za kike za mtumba kwa kuchagua mojamoja kuja kuuza mkoani iringa (sihitaji belo sababu ya hofu ya quality za nguo)..... Mwenye connection Nzuri tushirikishane jinsi wanavyopata hizo nguo kali maana ajira zitatuua masikini...

Kama unaushauri wa biashara tofauti nahii kwa mtaji huo nitashukuru ukinijuza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WAHI KABLA OFA HAIJAISHA.
Mbao za kupaua zenye dawa(treated) kwa bei za jumla.
Tupigie. 0768 206 093 au 0674 344 436.

Milunda ipo bei ya jumla

USAFIRI BURE MPAKA SAIT.

tuko buguruni chama Dar es salaam.
Tupigie 0674 344 436 au 0768 206 093.
IMG_20200516_184206_055.jpeg
FB_IMG_15896420980161491.jpeg
IMG_20200516_184339_594.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo acha bwebwe, naona usha piga faida ya kutosha baada ya kuuza dagaa sasa unataka madada poa. Acha kutuharibia uzi.

Alafu nilikuuliza kuhusu wale dagaa kwa ajili ya chakula cha kuku kama wanapatikana huko ukawa kimya tu, nn shida.?
Ok wapo wengi sana mkuu ni wewe. Tena kwa leo debe linauweza uzwa kwa Tsh 6000 mpaka 8000. Fanya mpango nikutumie leo
 
Back
Top Bottom