rommy shabby
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 1,123
- 1,302
Hapanaa
Sorry una belo quality za mikoba ya kike na bei gani asanteYaah waende tu mi siwezi kumuuzia Mtu lawama.
Yupo mmoja ataleta mzigo next week.this time amechelewa sana kwa sababu ya coronaShukran mkuu
Yupo mmoja ataleta mzigo next week.this time amechelewa sana kwa sababu ya corona
ni njia ya kisasa ya marketing ambapo unalenga wateja wa eneo lako tu.nicheki 0713039875 kwa detailsHio inakuaje mkuu
Habari madamWanazingua simu kibao wanataka Balo za bei rahisi,
wakapambane na wachina aisee.
Kwa dar kuna maeneo ya mnazi mmoja wanauza mabelo ila sijafahamu bei zake na nguo za aina hiyo upatikanaji wake.Habari Ndugu ?
VIP naweza pata connection ya mabelo ya Nguo kwa ajili kkuzuia ya Baridi nipo Njombe
Nimekujibu mkuuMkuu nimekucheki pm
Nimekujibu mkuu
Inauzwa au kukodishwa? Weka picha zake kama inawezekana.Wakuu kwema?
Tupeane connection kuna freezer truck ya tani 2 haijapa kazi imepaki. Kama kuna mchongo wowote tushtuane. Gari ipo Dar.
Inakodishwa mkuu, ngoja kesho nitatupia picha.Inauzwa au kukodishwa? Weka picha zake kama inawezekana.
Inakodishwa mkuu, ngoja kesho nitatupia picha.
Pamoja mkuu.Sawa mkuu nazisubir picha
0744883353 WhatsappHuna WhatsApp🤗
Msimbazi/narung'ombe maduka kibaooo ya wamahara wanauzaHabari..!
dada unawezajua, chimbo la vitambaa vya nguo za kike kwa bei ya jumla.