Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.

Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali Katika duniani hii wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kuto kuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.

Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.

Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.

Natafuta mtu wa kunikutanisha na mh Makonda(mkuu wa mkoa wa Dar)
 
IMG_0342.jpg

IMG_0340.jpg

IMG_0338.jpg

Ofisi inapangishwa ipo oyster bay opposite na Dar Free Market, Ina partitions mbili kubwa, choo kimoja ndani, Luku independent, Maji na parking pia ipo. Kodi ni 370,000 kwa mwezi maongezi yapo, hakuna udalali wala service charge nicheki dm tuyapange
 
Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.

Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali Katika duniani hii wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kuto kuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.

Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.

Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
Kuna mwenye connection ya silver inayotoka zambia hapa mbeya.

Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 
Nimeanza kufanya biashara ya ukusanyaji wa chupa+ plasticna mifuko na kuzirudisha kiwandan, mwenye kujua changamoto za biashara hii tujuzane.

Nanumua kutoka dampo la lisasa dodoma then chupa nauza hapa hapa dom ila mifuko napeleka Dar.

Ikiwa mkoa ulipo upatikanaji wa malighafi ni mkubwa tujuzane pia.
 
Nimeanza kufanya biashara ya ukusanyaji wa chupa+ plasticna mifuko na kuzirudisha kiwandan, mwenye kujua changamoto za biashara hii tujuzane.

Nanumua kutoka dampo la lisasa dodoma then chupa nauza hapa hapa dom ila mifuko napeleka Dar.

Ikiwa mkoa ulipo upatikanaji wa malighafi ni mkubwa tujuzane pia.
Moshi chupa ni mkubwa unapata hata mifuko kama ni ya safleti
 
Back
Top Bottom