Jumla au rejareja madame?Naomba nipewe connection ya vipodozi vya kike na kiume visivyo na madhara.
Badilisha tabia yako kwanza, i bet hiyo ndo inayokuangusha mara zote.Chuki juu yangu zaletwa nanini?
I also don't know mr job seekerNimekudharau wapii
Concentrate on finding kazi aisee.Tabia gani.?
You called me hawflit where is that comment?Nipe connection
FORGETNipe connection
Write it again, you know I'm elbows deep in class birds who don't know left from rightComment it here
Yeah! Training myself to be thick and the dumber i get the more I'm smiling.Halfwit
niliisoma mkuu
Cheti chako cha form 4 unacho? no. ya NIDA ulipata?Naam..
fanya biashara ya mbuziKwa mtaji wa 2m naweza kufanya biashara gani hapa Dar es Salaam ambayo ntapata faida kati ya elfu 10 mpaka 20?
Bodaboda sitaki.
Nitakutafuta kesho tuongeeNida sijapata.
Kwa Bei ya jumla MkuuJumla au rejareja madame?
Kama uko Dodoma just check on meKwa Bei ya jumla Mkuu
Tanga mbuzi wanachukulia wapi bei gani hukofanya biashara ya mbuzi
nunua tanga huko uzia vingunguti na tafuta wateja wa kwenye mabaa
Biashara nzuri ukitulia nayo na ukiwa ba eneo la kuwahifadhia.
Mbuzi mmoja anaeza kukupa elfu 50 na zaidi, zidisha kwa 10 hapo...