Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Naitwa shafii hemedi nipo handeni tanga umri miaka 28 elimu yangu n secondary. Natafuta mtu ambaye naweza kufanya nae biashara ya kuku mwenye kujua masoko kazi yangu mimi itakuwa n kukusanya mzigo maporini. Shukrani wakuu.
Bwana shafii, bei ya hao kuku ni shilingi ngapi nijue najipangaje?
 
Nauza mchele kwa Bei ya mkulima..

Mchele wangu Bei inatofautiana kulingana na ubora na aina ya mchele.
Kuna wa sh 1,250
Kuna wa sh 1,350
Kuna wa sh 1,500
Kuna wa sh 1750

Hzo Bei ni kwa kg 1.

Sifa za mchele wangu.
-Mchele mpya (hauna kiaharufu cha store)
-Mtamu
-Unang'aa
-Haujafanyiwa maujanja (kupakwa mafuta) kitu ni original
-hauna uchafu (pumba, mawe,chuya)

Napatikana dar,mchele wangu nauza kwa order maalumu (muuzaji ni mkulima sio mangi)...so una place order then tunakubaliana nakuletea mzigo.

Napokea order ya kuanzia kg 5,10,20 na kuendelea.

Sample naweza nkakukutumia kama utaitaji kujiridhisha zaidi.
 
Nauza mchele kwa Bei ya mkulima..

Mchele wangu Bei inatofautiana kulingana na ubora na aina ya mchele.
Kuna wa sh 1,250
Kuna wa sh 1,350
Kuna wa sh 1,500
Kuna wa sh 1750

Hzo Bei ni kwa kg 1.

Sifa za mchele wangu.
-Mchele mpya (hauna kiaharufu cha store)
-Mtamu
-Unang'aa
-Haujafanyiwa maujanja (kupakwa mafuta) kitu ni original
-hauna uchafu (pumba, mawe,chuya)

Napatikana dar,mchele wangu nauza kwa order maalumu (muuzaji ni mkulima sio mangi)...so una place order then tunakubaliana nakuletea mzigo.

Napokea order ya kuanzia kg 5,10,20 na kuendelea.

Sample naweza nkakukutumia kama utaitaji kujiridhisha zaidi.
Picha za sample mkuu hasa hio ya 1250
 

Attachments

  • Screenshot_20200720-170923.png
    Screenshot_20200720-170923.png
    207.8 KB · Views: 13
Nauza mchele kwa Bei ya mkulima..

Mchele wangu Bei inatofautiana kulingana na ubora na aina ya mchele.
Kuna wa sh 1,250
Kuna wa sh 1,350
Kuna wa sh 1,500
Kuna wa sh 1750

Hzo Bei ni kwa kg 1.

Sifa za mchele wangu.
-Mchele mpya (hauna kiaharufu cha store)
-Mtamu
-Unang'aa
-Haujafanyiwa maujanja (kupakwa mafuta) kitu ni original
-hauna uchafu (pumba, mawe,chuya)

Napatikana dar,mchele wangu nauza kwa order maalumu (muuzaji ni mkulima sio mangi)...so una place order then tunakubaliana nakuletea mzigo.

Napokea order ya kuanzia kg 5,10,20 na kuendelea.

Sample naweza nkakukutumia kama utaitaji kujiridhisha zaidi.
kuna mjumbe mmoja anauliza hapa huu mchele ni wa mkoa gan?
 
Back
Top Bottom