Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Naitwa shafii hemedi nipo handeni tanga umri miaka 28 elimu yangu n secondary. Natafuta mtu ambaye naweza kufanya nae biashara ya kuku mwenye kujua masoko kazi yangu mimi itakuwa n kukusanya mzigo maporini. Shukrani wakuu.
 
Upatikanaji wa Viwanja Jiji LA Dodoma kwa bei rahisi sana , kwa maeneo ya makazi ,biashara , na mashamba utapata kwa urahisi sana kikubwa waweza nicheki mapema ili tuweze wasiliana kwa urahisi

[emoji1371]Maeneo ya Viwanja na mashamba kama yafuatayo :
[emoji1542] Dodoma mjini

[emoji1542]Mtumba Mji wa serikali

[emoji1542]Michese

[emoji1542]Nala


[emoji1542]Veyula

[emoji1542]mkonze

_Kwa mawasiliano zaid.

[emoji338] *call/text*
0738808343
 
MMASAI OG FASHION SHOES
NI wauzaji wa viatu vya kimasai kwa bei ya kiwandani jumla na reja reja
Jumla ni shilingi 5000 tu
Reja reja ni shilingi 7000 tu
Tunapatikana Mwenge Dar Es salaam
Pia Mikoani Tunatuma......
Tuchek whatsap/call/text 0672904720
 

Attachments

  • IMG-20200623-WA0022.jpg
    IMG-20200623-WA0022.jpg
    52 KB · Views: 13
  • IMG-20200623-WA0020.jpg
    IMG-20200623-WA0020.jpg
    51.3 KB · Views: 13
  • images (19).jpeg
    images (19).jpeg
    24.1 KB · Views: 13
Ndugu zangu naomba connectio ya sehem gan wanapouza pembe za ng'ombe,ngozi, kwato pamoja na uume wa ng'ombe nina mtaji wa milion mbili naitaji nifanye hiyo biashara naomben msaada
 
Ndugu zangu naomba connectio ya sehem gan wanapouza pembe za ng'ombe,ngozi, kwato pamoja na uume wa ng'ombe nina mtaji wa milion mbili naitaji nifanye hiyo biashara naomben msaada

Unapatikana wapi kiongozi...? Kwa nini usiende machinjioni ukampa mtu kazi ya kuwa anakukusanyia mzigo ukifikia kiwango flani anakupigia simu.

Soko lake likoje kiongozi sio mbaya ukatupa mwangaza mkuu. Ahsante.
 
Ndugu zangu naomba connectio ya sehem gan wanapouza pembe za ng'ombe,ngozi, kwato pamoja na uume wa ng'ombe nina mtaji wa milion mbili naitaji nifanye hiyo biashara naomben msaada
Kuna mzee flani yuko chato anashughulika na kukusanya hivyo vitu ngoja nitafte mawasiliano yake kama nitampata. Ama zaid waeza tafuta hata watu wa karagwe pia pembe hupatikana sana pande hizoo
 
Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.

Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali Katika duniani hii wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kuto kuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.

Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.

Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
Ikiwapendeza naomba uzi wangu upitiwe...natafuta Connection.
[emoji1313]
Kwa yeyote anayetarajia kufanya uwekezaji naomba usome hapa
 
MMASAI OG FASHION SHOES
NI wauzaji wa viatu vya kimasai kwa bei ya kiwandani jumla na reja reja
Jumla ni shilingi 5000 tu
Reja reja ni shilingi 7000 tu
Tunapatikana Mwenge Dar Es salaam
Pia Mikoani Tunatuma......
Tuchek whatsap/call/text 0672904720
Sapro Masai, nawaonaga instagram kumbe upo hadi huku[emoji106] viatu vizurii
 
Back
Top Bottom