blacksamurai
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 387
- 646
Ooh sawahaya kaka yanakua hayana kiwango sana kama tunayotumia binaadam kwa ajili ya chakula .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh sawahaya kaka yanakua hayana kiwango sana kama tunayotumia binaadam kwa ajili ya chakula .
Pungufu ya gunia 50 bei inakuwaje?Hayo ni Yale magunia yale mkubwa mkuu, ya kilo Mia na zaidi.
22,000 ni Kwa mteja anayechukua kuanzia gunia 50 kupanda juu mkuu.
Karibu
Ukonga kubwa mkuu hebu weka maeneo yenye mzungukoKwa hii Bei ukileta kwetu ukonga hata ziwe gunia 10000 zinaisha kwa lisaa limoja
Mkuu ungetupia pichaNimeshamjibu mkuu, karibu
Vipi kuhusu ubora wa huo mkaa?Kwa hii Bei ukileta kwetu ukonga hata ziwe gunia 10000 zinaisha kwa lisaa limoja
Sawa bei 450.Leo kilo moja ya mahindi Songea inanunuliwa kwa Tsh. 430 kwa maeneo ya vijijini na Tsh. 450 mjini. Karibu ununue mahindi kupitia vikundi vya wakulima. Tunaomtandao mkubwa sana wa vikundi vya wakulima ambao tunawapa huduma mbalimbali hivi unaweza ukapata mahindi mengi sana kwa haraka.
Kama wewe ni mnunuzi wa mahindi njoo ununue kupitia vikundi vyetu vya wakulima. Faida ya kununua kupitia vikundi vya wakulima ni uhakika wa kupata mzigo mkubwa na wenye ubora kwa haraka zaidi huku ukipata usaidizi wa wataalamu wetu ktk ukusanyaji. Njoo ofisini kwetu kwa taarifa zaidi.
Mawasiliano yetu ni 0621133117
Tunapatikana jengo la NSSF Songea ghorofa ya 3.
Wewe unashamba au unatoa kwa wakulima?Natafuta wanunuzi wa ma-limao
Kiwanda unachotaka ni kikubwa au kidogo? Kuna baba hapa mtaani ana kiwanda cha mabag na mikoba.Nahitaji connection na kiwanda kinachotengeneza mabegi na mikoba hapa nchini.
Mkuu una shamba au nawe ni mchuuzi? Kama una shamba naomba tuongee pm.Mwenye connection ya soko la malimao
Ndiyo lakini uzalishaji wao mdogo.Kumbe mabegi yanatenganezwa hapa hapa nchini!!!!
Sent from my itel it1508 using JamiiForums mobile app
Unataka wangapi?Mwenye connection wanakopatikana kuku wa kienyeji kwa ajili ya kufuga
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekupata sasaNdiyo lakini uzalishaji wao mdogo.
Maana nimeona kama ni macherehani wamefunga na motor kubwa.
Kuna vile tubag twa mgongoni wanabeba sana hawa watoto wa kike maarufu vinaitwa "VISHANDU" ndo vinatengenezwa kwa wingi.
Heshima yako mkuu!Haloo nipo hapa nipeni connection kesho niingie shamba.
La sivyo kijana mwenzenu nitaenda kuweka heshima bar leo jumapili.
[emoji1787] [emoji1787] Heshima ya nini.
Huko bar twende sote[emoji1787] [emoji1787] Heshima ya nini.
Niokoe nisiende kuweka heshima bar.