muhogo_kiks
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,627
- 4,445
H jujitsunl th TV b TCT gugHTC to. Yet g l! 6 m. Xxd d 5 pm. N get him 5 by h n M of the n. VT Gmail mm DC. T toMoshi chupa ni mkubwa unapata hata mifuko kama ni ya safleti
Ningependa kupata connections za wanaouza ama wateja wa viwanja, nyumba za makazi na biashara.Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.
Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali Katika duniani hii wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kuto kuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.
Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.
Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
Kiwanja Babati utapenda?Ningependa kupata connections za wanaouza ama wateja wa viwanja, nyumba za makazi na biashara.
Unaweza pata faida shngap roughlyHii yenye pair za shuka 7*8 na foronya zake inauzwa 750,000
Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.
Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali Katika duniani hii wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kuto kuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.
Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.
Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
Naomba namba yako ya cm pmNpo kwa azz Alli mkuu...japo sina ofisi huwa naleta kwa order,chenga sina mkuu?
Unahitaji chenga za vitumbua?
Nimekucheki pm , nina vipodozi natural & organicNaomba nipewe connection ya vipodozi vya kike na kiume visivyo na madhara. Nahitaji kununua kwa Bei ya jumla
Nashukuru Sana kwa ujumbe. Bei zako zipo juu mno.Nimekucheki pm , nina vipodozi natural & organic
Ushapata mpunga??mpunga upo geita gunia 60000Jamani nahitaji mpunga gunia 7 ndani ya siku 3 nipo Mwanza Kama upo humu nicheki pm
Upo WAP kwanza...ukijua eneo ulilopo ndo utajua cha kufanya...Nina mtaji wa milion 3 ila sijui nifanye biashara gani?
Mkuu naweza pata kibarua hapo kwako...Nina uhitaji wa kazi snaNina kampuni ya kukusanya madeni na real estate kwa wakaazi wa Arusha na Mwanza.
Kama utaweza fungua uwakala wa m.pesa au Tigo pesa inalipa sanaNdugu zangu mi nina mtaji wa kiasi cha milioni tisa lakini kusema ukweri sijui nifafanye biashara gani,na hii yote nikwa sababu sina uzoefu na biashara,na kwenye hili lazima niwe mkweri,ninaishi hapa Kibaha Pwani
Sent from my B-TOUCH10 using JamiiForums mobile app
Funguwa Saloon kubwa yakisasa hapo kibaha, Kama hauna uzoefu ni pm nitakupa maelekezo.Ndugu zangu mi nina mtaji wa kiasi cha milioni tisa lakini kusema ukweri sijui nifafanye biashara gani,na hii yote nikwa sababu sina uzoefu na biashara,na kwenye hili lazima niwe mkweri,ninaishi hapa Kibaha Pwani
Sent from my B-TOUCH10 using JamiiForums mobile app
Ni korosho zilizo katika hali gani? Zimebanguliwa? Za grade ipi? Niko interested mkuu.Kuna tani 40 za korosho kwa bei ya kilo moja kwa 800. Wadau mnakaribishwa