Korosho ghafi,grade a mkuu.Ni korosho zilizo katika hali gani? Zimebanguliwa? Za grade ipi? Niko interested mkuu.
Kama una soko! Ntafte tununue wote nyumba ya Mungu ila ni ndogo ndogo kuanzia inch 2.5Connection kuhusu uuzaj dagaa na samak Dodoma mweny idea tafadhar kuhusu process za usafirishaj na vibali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sawa mzee ,,, mtu akipenda bidhaa anakuja darect
Asante kamanda, nilikua najua ni vile viatu vya moka, Travolta na kadhalika.
Magauni ya watoto wa umri gn, unauzaje jumla?
Nipo mkuuNatafuta mtu anayenunua nafaka kutoka mkoani kuleta Dar Es Salaam karibu tuyajenge.
It is never too late to begin. Start now
Takuche keshoOk wapo wengi sana mkuu ni wewe. Tena kwa leo debe linauweza uzwa kwa Tsh 6000 mpaka 8000. Fanya mpango nikutumie leo
Tuwasiliane 0786504002Ninauza dagaa wa kukaanga toka mwanza ndoo/debe 30000, karibuni.
Ntaftie Mteja, wa kupanga fremu ya biashara Dodoma maeneo ya stendMimi nawasaidia wajasiriamali kunasa wateja kwa kutumia internet, mkoa wowote ulipo, Nina technology ya kulink akaunti zako ili wateja watoke Facebook, na Instagram wakufuate WhatsApp
Mkuu nna fremu ya biashara napangisha IPO maeneo ya stand Dodoma, niunganishie Mteja basiNatafuta eneo nichome na kutengeneza nyama nzuri sana ya kitimoto, mkoani Dodoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nicheki kwa 0713039875 unipe details
Ntaftie Mteja, wa kupanga fremu ya biashara Dodoma maeneo ya stend
UshapataNatafuta mashine ya mkono (manual) ya kutengeneza matofari ya kujengea na pia iwe na njia mbadala wa kutengeneza vile vitofari vidogo (pavement)
Unayo?Ushapata
Mkuu ishu ya vifungashio unione, kuhusu masoko nitakupa mikakatiWakuu nipo kwenye mchakato wa kufungua kiwanda cha kusaga unga wa mahindi sembe na dona,tatizo linakuja kwenye soko,Kiwanda kitakua mkoa wa songwe