Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Wakuu nipo kwenye mchakato wa kufungua kiwanda cha kusaga unga wa mahindi sembe na dona,tatizo linakuja kwenye soko,Kiwanda kitakua mkoa wa songwe
 

  1. Mimi nawasaidia wajasiriamali kunasa wateja kwa kutumia internet, mkoa wowote ulipo, Nina technology ya kulink akaunti zako ili wateja watoke Facebook, na Instagram wakufuate WhatsApp
    Ntaftie Mteja, wa kupanga fremu ya biashara Dodoma maeneo ya stend
 
Back
Top Bottom