Tayari nimekucheki mkuuNicheki kwa 0713039875 unipe details
Unanunua bei ganiJamani nahitaji mpunga gunia 7 ndani ya siku 3 nipo Mwanza Kama upo humu nicheki pm
Ndio ninayoUnayo?
Unaiuza shilingi ngapi?Ndio ninayo
Mkuu weka bei na ulipo. Enendeni kwa kuukomboa wakati.Nauza iPad wakuu usijali kuhusu bei
0742537423View attachment 1523861
Eti tusijali kuhusu bei kwani unatoa bure unatakiwa kuweka bei ya hiko unachouzaNauza iPad wakuu usijali kuhusu bei
0742537423View attachment 1523861
Ungeweka na bei ingependeza mkuuHabari wana Jf Nina portable toilets /mobile toilets kwa ajili ya matumizi yote ya outdoor. Kwenye misiba, matamasha, shughuli za ujezi na kadhalika.
Kampuni ni mpya nahitaji kupigwa tafu kupata wateja jamani
Namba ya simu ni 0768 333 953
Barua pepe ni muhogomchungu.kr@gmail.com
Kwa Msaada au support yoyote tutashukuru sana. View attachment 1526601View attachment 1526602View attachment 1526603
Sawa sawaUngeweka na bei ingependeza mkuu
Nitafute tuongee. ...Hivi Oil based perfume zinaagizwa kutoka nchi gani hasa? Namaanisha kwa bei ya jumla hasahasa zile pure.
Kama kuna mtu anajua please msaada.
Msaidie wewe aisee.Mkuu punguza roho hiyo haifai.
Nikutafute kwa njia gani mkuu?