Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Nauza iPad wakuu usijali kuhusu bei
0742537423
IMG_20200716_180659_0.jpeg
 
NAUZA GOOGLE PIXEL 3A MPYA, KWA WANAOFAHANU HII MIZIGO WANAIELEWA HATA IPHONE X HAIGUSI..
Google Pixel 3a for Sale
Released 2019
New, full boxed (protector, cover, charge and usb type C to C, sim pin ejector)
Ram 4 Gb
Rom 32 Gb
ANDROID 11
Best Camera
Bei 595,000
NO EXCHANGE
Nipo Sinza, nipigie 0682521021
IMG_20200730_160906.jpg
IMG_20200730_160742.jpg
 
Habari naomba kueleweshwa kuhusu biashara ya mazao faida na changamoto zake.
 
Habari wana Jf Nina portable toilets /mobile toilets kwa ajili ya matumizi yote ya outdoor. Kwenye misiba, matamasha, shughuli za ujezi na kadhalika.

Kampuni ni mpya nahitaji kupigwa tafu kupata wateja jamani

Namba ya simu ni 0768 333 953
Barua pepe ni muhogomchungu.kr@gmail.com

Kwa Msaada au support yoyote tutashukuru sana.
20200718_082949.jpeg
20200718_082957.jpeg
IMG-20200718-WA0005.jpeg
 
Ungeweka na bei ingependeza mkuu
Sawa sawa
Tunaanza 150, 000 kwa siku, kwa choo kimoja.
Kama ukichukua viwili yani kwa ajili ya wanawake na wanaume ni 130, 000 kwa kimoja.

Kama ni zaidi ya siku moja kwa choo kimoja ni 130, 000 kwa siku.

Kama ni viwili basi ni 120, 000

Long term, unakodi zaidi ya mwezi bei ni 100, 000

All figures in Tanzanian shilings
 
Mkuu punguza roho hiyo haifai.
Msaidie wewe aisee.
Madogo kama hao mimi siwasaidiagi hata kidogo.

Heshima ni kitu cha bure kama hicho tu kinamshinda kazi ataweza huyo
 
Back
Top Bottom