Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

nitaji photographer, awe anajua vzr kupiga picha na kuedit...
 
Mashuka safii na mazuri ya Mtumba kutoka UK. 100% cotton Size7×8 Wakazi wa dar es salaam unaletewa kwa sh elfu mbili .

Mashuka mawili na Foronya nne tsh 50,000
Shuka moja foronya mbili ni tsh 25,000

Mikoani unatumia kwa gharama ya tsh elfu tano tu.
Namba zetu ni +255655266249 hii inapatikana whatsApp
na kawaida ni hii +255672601301 karibuni.
 

Attachments

  • IMG-20200807-WA0020.jpg
    127 KB · Views: 14
  • IMG-20200807-WA0021.jpg
    132.1 KB · Views: 13
  • IMG-20200807-WA0002.jpg
    138.4 KB · Views: 13
Tunafanyaje kuhusu hizi mambo

Nifanyie mpango unitumie basi
 
AFRICAN BOYI, Kyenshaija
1.Nimepata vifaa vya ufundi ikiwemo cherehani,uashi,userermara,uchomaji ,umeme,viatu,maji nk.vipo bandarini dsm vinahitaji malipo kuvitoa ili kufungua mradi wa karakana na mafunzo kwa vitendo(youth) .Nahitaji washirika kuendesha mradi huu.mradi ni endelevu na utaendelea kupokea vifaa na misaada mingine.inahitajika milioni 9 tu kulipia na usafiri .kama kunamdau ajitokeze piga

2.Mradi wa usindikaji mafuta ya kula ya alizeti ,karanga,soya na ufuta pamoja na usambazaji mbegu kwa wakulima,upo tayari unahitaji pia washirika au mawazo jinsi ya kupata mitaji ya uendeshaji.

3.Mradi wa ufugaji kuku na utotoaji mayai.Kuku ni wa kienyeji.Mradi upo katika hatua ya kwanza unahitaji washirika pamoja na ushauri na upatikanaji mitaji Karibu tuongee au leta namba ya mdau piga +255763031988/+255784891188/+255623225404
 
Miradi yote mitatu itakuwa mkoani Kagera lakini akipatika mshirika wa mkoa mwingine tutafungua Tawi.
 
Jamani aliyekuwepo Tanga Handeni nakuja kesho anipe connection ya mahindi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…