Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Nipe namba yako mkuu.
 
zipo ndizi za kutosha mkoa kagera tunahitaji mwekezaji tushirikiane kumenya na kukausha kwa matumizi ya baadae na kusaga unga kutengeneza bidhaa mbalimbali ,maganda ya ndizi pia yanatengeneza gesi kama kinyesi cha ng'ombe.mradi huu unalipa sana pia wa kudumu, hivyo ndizi kavu zitasafirishwa kama makopa hadi kiwandani.vifaa vya kumenya vinapatikana mitaani hapa na kenya kutoka china,Tafadhali wasiliana nasi 0623225404
 
Natafuta fundi anaeweza kutengeneza vile vibanda vya coffee shop movable
 
Tunafanya Human Resources consulting kwa makampuni madogo kwa makubwa.

Nipigie 0763600984 kwa maelezo zaidi
 
Earphones kali na zakijanja ni 70k zina bluetooth napatikana dar es salaam... Mkoani pia natuma. Contact 0768689812
WhatsApp 0654859448
 

Tunahitaji kupata wabia kushirikiana kwa mradi wa kuchakata mafuta ya kula na usambazaji mbegu kwa wakulima,ufugaji wa kuku na mafunzo ya kazi ya mikono pamoja na kufungua Karakana kwa fani ya ushonaji,useremala,uashi,ujenzi, uchomaji vyuma na uhunzi, viatu,magari,maji na umeme kwa vijana kupata elimu, ajira na kipato kuelekea hatua ya Viwanda.

Miradi ipo katika mkoa Kagera, na ipo katika hatua ya mwanzo kwamba imekamilika kuanza,hivyo tunahitaji wabia kushirikiana kupata mitaji na uendeshaji bora kuinua kipato. Miradi tajwa ina fursa pana ya uwekezaji katika mkoa Kagera na imeandaliwa kwa misingi ya kuanzia kuinua kipato katika ngazi ya Kaya kupunguza umaskini katika jamii. Mueleze mwenzio taarifa hii ni ya haraka sana.

Vinahitajika Viotamizi na mashine za usindikaji mafuta na chakula cha mifugo pamoja na mtaji wa fedha.

Kwa maelezo zaidi wasiliana:
Mwenyekiti mtendaji
Kagera Edible Oil Mills
P.O.BOX 97,BUKOBA
+255763031988/0784891188/0623225404. email kageraedibleoil@gmail.com

Quote Reply
Report Edit
 
Jmn na Mimi natafuta Connection ya kupata tenda ya kusupply bidhaa za chakula Kama Mahindi,Maharage,Mchele,Nyama ya Ng'ombe,Kuku,Samaki n.k Kama mtu una hotel,kiwanda, Shule,Taasisi na maeneo mengine yenye uhitaji mkubwa naomba unichek kwa no.hii 0738-665702.Pia natafuta mtu mzuri wa Masoko tusaidiane kwa kazi hi Malipo maelewano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…