Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Nipeleke pa 40,000 nalipia Leo leoKaka mtu anauziwa open mpka 1ml kukodi 40 per month usicheze kbs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipeleke pa 40,000 nalipia Leo leoKaka mtu anauziwa open mpka 1ml kukodi 40 per month usicheze kbs
Ni jibu hapa hapaUnataka mashine ya kusafisha picha aina gani? Kama hautojali, nitafute kwa namba hiyo hapo juu, ama hapa nitakujibu
Ipo epson l382 yenye sifa zifuatazoNi jibu hapa hapa
Machine yeyote iwe ya bei nafuu tuu
We uko wapi?Nipeleke pa 40,000 nalipia Leo leo
Mkuu nipe meza YA 40,000 KWA kariakooWe uko wapi?
Unapatikana wapiMkuu nipe meza YA 40,000 KWA kariakoo
Nalipa na posho yako IPO.
sina uzoefu na mabibosterio na mabibo wapi bei nafuu?
Sh ngap mkuuWanajamvi naomben connection ya kusambaza Mchele Kwa jumla kwenye
-maduka
-ma hotel
-migahawa
Mchele ni mzuri na radha nzur toka kyela mbeya
Napatikana Dsm-Kinyerezi
No;0757160773
Taja uko wapi au location? Nahitaji ya kutotolesha.nicheki 0763031988 au 0623225404Natafuta soko la Mayai ya kienyeji
Ni kienyeji halisi sio kisasa wala Chotara
Tunaweza kusambaza zaidi ya Tray 30 kwa week
Bei ni Tsh 400 kwa yai na Tsh 12,000 kwa Tray pia yanafaa kutotolesha.
Gharama za usafirishaji tutazungumza.
Mawasiliano: 0652 027120View attachment 1554044View attachment 1554045View attachment 1554050
Bwana Mimi mbaazi nipo nazo zakutosha tu niambie unataka kiasi gani, gunia ngapi Bei usijalihabri wakuu, nilikuwa naulizia anayejua kwa sasa mbaazi zinapatikana wapi kwa wingi na bei yake ikoje?
Mawasiliano plzNina eneo la kuuzia viatu ila sina mtaji unanisaidiaje niwe wakala nikiuza tunagawana faida
1400-1500/KgSh ngap mkuu