rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Songea hiyoMbinga ipo mkoa gan mkuu?
Vip mkuu umeshauza tayari??Ninauza mashine za kukobolea na kusaga unga sembe ziko okay ukitaka hata na ofisi yake na godown pia mwenyw uhitaj kwa dar mimi ninahama mji kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Samaki aina gani mkuuMwenye kuhitaji samaki anicheki
Pm me nkupe site unapoweza kupata kazi hizo.natafuta connection ya uandishi wa makala za mitandaoni ama za hard copy, mada yoyote, au kuandikia website za masuala mbalimbali, 0718829826. kwa kizungu naita Content Writing.
Upo wapi? Mimi nipo Mwanza.Nahitaji Samaki wadogo wadogo kwa bei ya jumla wabichi
habri wakuu, nilikuwa naulizia anayejua kwa sasa mbaazi zinapatikana wapi kwa wingi na bei yake ikoje?
Mkuu hapa maliwi zipo kibaokivipi? mbona sikuelewi ..wewe ni mfanya biashara?
unazifahamu strawberry..
nimetaka mtu wa kuniuzia matunda hayo
kama unayo sema bei unauzaje na kwa kiasi gani ..nataka kuchkua kuanzia kilo moja na kuendelea.
Okey nitakuja au niconnect na anayeweza kunitumia.Mkuu hapa maliwi zipo kibao
Mkuu...naomba contacts zako....na nishakuja pm
mkuu mawasiliano tutakupataje
Mkuu vp umeipata hii connection...?? nahitaj pia
Manzese wanalalalia sana hutapata faida nzuri. Kama una nafasi washushe kuku wako then Anza kuuza rejareja jitangaze kwenye mitandao, fanya delivery, weka kanisani Jumapili watu wakitoka itakulipa.Jmn mi nataka kufanya biashara ya kuku wa kienyeji nawatoa singida kuwaleta dar naomba wenye uzoefu na soko.la dar anijulishe niende wapi na wapi mana kuna mtu kanambia hotelin au manzese sokon sa cjui nianzie wapi
Kwa mkoa gani mkuu?Naomba kujua bei ya gunia la vitunguu
Umempa wazo zuri Sana, hata asipowauzia yeye akusanye tu 300/=Unaweza kuzipeleka hizi toilets kwenye masoko chief,,unaomba eneo kwenye uongozi wa soko. Masoko mengi makubwa hayana vyoo vya kutosha,hata stendi pia kama mbezi, ubungo.