Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Yanahitajika maharage kwa ajili ya shule.
Kama una kombati ama rose coco tuwasililiane. Zinahitajika gunia 100+
 
Msimu wa kilimo umewadia

Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
Huduma hii mnatoa kwa Songea tu?
 
Hizo zinauzwa ghali 45k - 50k Mimi nahitaji toka viwandani ambapo bei ni 20k -25k. Hizi huwa zinaletea malighafi hasa kemikali kwa baadhi ya viwanda ila sijajua hasa ni viwanda gani.
Hata mimi nayatafuta sana haya mapipa
 
Hata mimi nayatafuta sana haya mapipa
Mkuu tunayo. Tunauza 35000 rejareja. Jumla (100pcs na kuendelea) 30000.View attachment 1605092
IMG-20201002-WA0025.jpg
 
Naomba wenye connection na midoli ya madukani kwa ajili ya display (mannequins), natarajia kuanza kuileta Tanzania kuanzia November mwishoni. Bei ya jumla na reja reja itakua shilingi elf 60 tu, wateja wa mikoani mpaka Dar es Salaam mnakaribishwa sana.
View attachment 1606099View attachment 1606100
 

Attachments

  • Screenshot_20201020_132355_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_20201020_132355_com.android.chrome.jpg
    24.6 KB · Views: 12
Back
Top Bottom