NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Jumla ni shingapiHAPA KUNA[emoji3596]
Subwoofer yenye Amplifier ndani
-Watts 1000
Mdundo Kama Wote[emoji344]
Kwa ajili ya Gari[emoji593] lako au Bajaji
Zinapatikana kwa Jumla na Rejareja
Bei
90,000/=
Tupo Kariakoo-Dar es Salaam
WhatsApp & Calls
0714122948
Free Delivery at Dar es salaam
Mikoani Tunatuma Pia View attachment 1565215View attachment 1565217View attachment 1565218
Tabata Chang'ombeUnapatikana wapi
Mkuu hujaeleweka sana, you mean unatafuta masoko ama unataka kununua kwa hao suppliers ? Kama unauza senène ni bei gani?Connection biashara ya senene kutoka bukoba pmj na kisamvu fresh kilichosagwa
Nakupigia muda si mrefuNatafuta inspiration Speakers ,
Pls,
Wasiliana nami kwa namba 0686 520 133
Mashati mikono mirefu sh ngap mkuu?[emoji625]Form Six Kali
[emoji625]Form six Chinese Colla
[emoji625]Mashat mikono mirefu na mifupi
VYOTE VINAPATIKANA KWA JUMLA NA REJA REJA
Tupo Kariakoo-Dar es Salaam
WhatsApp & Calls
0714122948
KARIBUNI SANAView attachment 1589012View attachment 1589014View attachment 1589016View attachment 1589018
Huduma hii mnatoa kwa Songea tu?Msimu wa kilimo umewadia
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.
Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.
Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
Mtu wa mkoa wowote anahudumiwa ila kazi yake ifanyike ndani ya mkoa wa Ruvuma -Songea kwa wale ambao hawapo Songea na hawana mashamba tunawawezesha kupata mashamba ya kukodi au kununua.Huduma hii mnatoa kwa Songea tu?
Hata mimi nayatafuta sana haya mapipaHizo zinauzwa ghali 45k - 50k Mimi nahitaji toka viwandani ambapo bei ni 20k -25k. Hizi huwa zinaletea malighafi hasa kemikali kwa baadhi ya viwanda ila sijajua hasa ni viwanda gani.
Mwenye kuitaji biashara yavitunguu toka Singida kwenda Kona yoyote yaTanzania na nchi jilani anicheki tusaidiane me nipo Singida Sokoni
[emoji625]Form Six Kali
[emoji625]Form six Chinese Colla
[emoji625]Mashat mikono mirefu na mifupi
VYOTE VINAPATIKANA KWA JUMLA NA REJA REJA
Tupo Kariakoo-Dar es Salaam
WhatsApp & Calls
0714122948
KARIBUNI SANAView attachment 1589012View attachment 1589014View attachment 1589016View attachment 1589018
Bei mkuu kwa KG 100Kwa mwenye kuhitaji dagaa kutoka mwanza. Wanakufikia mpaka dar.
Kwasasa 60 hadi 55 inategemeana size na uboraBei ya gunia ipoje mkuu kwa sasa
Bei mkuu kwa kg100
Mi nauza kwa ndoo kubwa na gunia mkuu.. ndoo nauza 45000 gunia 420000 linakuwa na ndoo 10 ukiitaj ni PM mkuuBei mkuu kwa kg100
Mkuu tunayo. Tunauza 35000 rejareja. Jumla (100pcs na kuendelea) 30000.View attachment 1605092Hata mimi nayatafuta sana haya mapipa
Mko wapi?Mkuu tunayo. Tunauza 35000 rejareja. Jumla (100pcs na kuendelea) 30000.View attachment 1605092View attachment 1605093