Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
naombeni connection ya wapi wanakobeba sana na kushusha mizigo ya mazao nikawe kuli ili nipate mtaji wa biashara,yan kama ni sokoni ni soko linaloingiza lori kwa siku angalau 4,5 au viwandani ambacho wanaruhusu makuli wa kujitegemea naomben connection kwa anaejua hasa mkoa wa pwani kibaha au bagamoyo na dar es salaam
.Zara ipo uturuki?
Kila la kheri mkuunaombeni connection ya wapi wanakobeba sana na kushusha mizigo ya mazao nikawe kuli ili nipate mtaji wa biashara,yan kama ni sokoni ni soko linaloingiza lori kwa siku angalau 4,5 au viwandani ambacho wanaruhusu makuli wa kujitegemea naomben connection kwa anaejua hasa mkoa wa pwani kibaha au bagamoyo na dar es salaam
Zinazo Chief.Ndio ni nguo hazina bei?
Kariakoo, Mabibo na Tandale kwenye mafuso ya miwanaombeni connection ya wapi wanakobeba sana na kushusha mizigo ya mazao nikawe kuli ili nipate mtaji wa biashara,yan kama ni sokoni ni soko linaloingiza lori kwa siku angalau 4,5 au viwandani ambacho wanaruhusu makuli wa kujitegemea naomben connection kwa anaejua hasa mkoa wa pwani kibaha au bagamoyo na dar es salaam
Asante mkuu nitalifanyia kazi hilo.k.koo,mabibo na tandale kwny mafuso ya miwa
Movie original au hizi za akina Murphy?TANGAZO. Tunauza movies package za aina zote, bei ni 1500 - 3500 (inategemea ukubwa wa movie) pia tuna tuna kwa WhatsApp na E-mail. Ni PM kwa wanaohitaji!!! KARIBUNI SANA!
Original mkuu!!!Movie original au hizi za akina Murphy?
Specifications ya hizo laptopsFURSA, FURSA FURSA.
TUNAUZA LAPTOP ZA KISASA ZA WATOTO, NI ZA KIPEKEE SANA.
TUNAUZA JUMLA NA REJAREJA, KWA WALE WA KUCHANGAMKIA FURSA UNAWEZA KUNUNUA JUMLA NA UKAUZA NA KUPATA FAIDA NZURI SANA.
JUMLA NI 130,000TZS
REJAREJA NI 150,000/=
TUNAPATIKANA JENGO LA STAND KUU YA MABASI MJINI MOSHI ROOM NO M38 na M36. PIA TUNATUMA MIKOA YOTE TANZANIA KWA BEI NAFUU NA KWA UAMINIFU MKUBWA.
PIGA SIMU/WHATSAPP 0757252165.
Ulipataga mkuu?Mi naomba kujua chimbo wanalouza vitabu kwa bei ya jumla.
Vitabu vya
•Inspirations
•Self growth
•Personal finance
•Economy
Ulipataga mkuu?
Mkuu hivi viwanja vipo bado?Kwa mtu anayehitaji kununua Viwanja vya bei chee vinapatikana Chanika bei kuanzia milioni 1.5
Miundombinu kama Hospital,umeme,maji upo
Karibu usafiri upo mpaka site wahi sasa viwanja vimebaki vichacheView attachment 1579429View attachment 1579430View attachment 1579428View attachment 1579432View attachment 1579427View attachment 1579431View attachment 1579434View attachment 1579433View attachment 1579435