Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

naombeni connection ya wapi wanakobeba sana na kushusha mizigo ya mazao nikawe kuli ili nipate mtaji wa biashara,yan kama ni sokoni ni soko linaloingiza lori kwa siku angalau 4,5 au viwandani ambacho wanaruhusu makuli wa kujitegemea naomben connection kwa anaejua hasa mkoa wa pwani kibaha au bagamoyo na dar es salaam

Kila la kheri mkuu[emoji1431]
 
Zara ipo uturuki?
.
Screenshot_20201108-083044_UC Browser.jpg
 
naombeni connection ya wapi wanakobeba sana na kushusha mizigo ya mazao nikawe kuli ili nipate mtaji wa biashara,yan kama ni sokoni ni soko linaloingiza lori kwa siku angalau 4,5 au viwandani ambacho wanaruhusu makuli wa kujitegemea naomben connection kwa anaejua hasa mkoa wa pwani kibaha au bagamoyo na dar es salaam
Kila la kheri mkuu
 
Ndio ni nguo hazina bei?
Zinazo Chief.

Pita Huku Kwa Details Zaidi.

👇👇👇👇👇👇👇👇


Karibu


BJBzsz62.jpeg
BJBzsz48.jpeg
BJBzsz50.jpeg
bjbvnecks70.jpg
 
Ukiitaji radio na TV kwa bei ya jumla tupo Mwanza tucheck 0688572784
 
naombeni connection ya wapi wanakobeba sana na kushusha mizigo ya mazao nikawe kuli ili nipate mtaji wa biashara,yan kama ni sokoni ni soko linaloingiza lori kwa siku angalau 4,5 au viwandani ambacho wanaruhusu makuli wa kujitegemea naomben connection kwa anaejua hasa mkoa wa pwani kibaha au bagamoyo na dar es salaam
Kariakoo, Mabibo na Tandale kwenye mafuso ya miwa
 
TANGAZO. Tunauza movies package za aina zote, bei ni 1500 - 3500 (inategemea ukubwa wa movie) pia tuna tuna kwa WhatsApp na E-mail. Ni PM kwa wanaohitaji!!! KARIBUNI SANA!
 
FURSA, FURSA FURSA.
TUNAUZA LAPTOP ZA KISASA ZA WATOTO, NI ZA KIPEKEE SANA.
TUNAUZA JUMLA NA REJAREJA, KWA WALE WA KUCHANGAMKIA FURSA UNAWEZA KUNUNUA JUMLA NA UKAUZA NA KUPATA FAIDA NZURI SANA.
JUMLA NI 130,000TZS

REJAREJA NI 150,000/=
TUNAPATIKANA JENGO LA STAND KUU YA MABASI MJINI MOSHI ROOM NO M38 na M36. PIA TUNATUMA MIKOA YOTE TANZANIA KWA BEI NAFUU NA KWA UAMINIFU MKUBWA.
PIGA SIMU/WHATSAPP 0757252165.
Specifications ya hizo laptops
Ram
GHz
Charge
 
Mwenye kuhitaji kutengenezewa matangazo, nipo na EG design apa wako poa sana nicheki atakutumia na sample.
 

Attachments

  • tangazo enhanced.png
    tangazo enhanced.png
    420.3 KB · Views: 10
  • TANGAZO EG.png
    TANGAZO EG.png
    133.6 KB · Views: 10
Nahitaji mbao za one four, location Mbeya.
DM me kama unazo, nahitaji nyingi tu
 
Back
Top Bottom