myama sana
Member
- Jul 15, 2019
- 17
- 12
Mwenye kuhitaji Gas nabadilisha kwa bei izo napatikana kijitonyama polisi mabatini...View attachment 1600092
0688899089
y [emoji521][emoji530][emoji521][emoji530][emoji306]Yoyote anaehitaji viatu
vya shule jumla na reja reja
Army boots kwa ajili ya kampuni za ulinzi
Official shoes
Viatu vyote ni ngozi na ubora wa hali ya juu
tuwasiliane kwa 0744 002351
y ggNipeni connection wapi ntaweza Pata masofa (furnitures)imported kwa bei nzuri
Mzee wa connection hapa nimekwama
Ova
Mkuu nitapata IST kwa Million 4?Ukihitaji gari za bei poa kuanzia milioni 3 mpaka 7 nicheki 0744-033555
Nipo Dar es salaam
Unauzaje mkuu? Iko maeneo gani?Nyumba inauzwa iko Arusha room 9 choo cha nje, ina ukuta na geti, maji yapo na umeme na ina space (ua) unaweza kupark gari mbili ndogo.
PM kwa maelezo zaidi.
Njoo PMUnauzaje mkuu? Iko maeneo gani?
Nipeni connection wapi ntaweza Pata masofa (furnitures)imported kwa bei nzuri
Mzee wa connection hapa nimekwama
Ova
MpyaUnataka mpya kabisa au imported ikiwa used in good condition
Mpya
Ova
1kg 70000 nauza mzigo Kwa sasa bado Hadi niagizwe ulikua wahitaji kiasi gani mawasiliano yangu hayo apo mpendwa karibu
Unahitaji ngapi mkuu, utapata chap kwa haraka.naitaji mbao za one four, location Mbeya.
dm me kama unazo, naitaji nyingi tu
Unauza bei gani?Anaehitaji kuku wa kienyeji pure kutoka Singida? Tuchekiane
Ulifanikiwa kuupata?Nahitaji mzani wa mawe used, kama kuna yeyote anaeuza tafadhali tuwasiliane.
Asante
Nahitaji Zabron Hamis, nipatie mawasiliano yako mkuuJipatie pallets za plastik kwaajili ya kukalishia vifaa/mizigo isiyohitaji unyevunyevu (kama chakula, friji, cement, n.k)View attachment 1605097View attachment 1605098View attachment 1605099View attachment 1605100View attachment 1605101
Sijaelewa wewe ndio una hizo simu au ndio unazitaka?Nahitaji connection na mtu ambaye anaweza akauza simu ambazo ji refubricated kwa bei ya jumla.