sassy girl
Senior Member
- Sep 19, 2020
- 112
- 173
+91 9990874397 nipo hewani labda hukusave vizurNumber yako kwenye whatsp sikupati
0767086446 karibu sana mkuuNahitaji Zabron Hamis, nipatie mawasiliano yako mkuu
Unataka box ngapi?Kama una Tiles za bei kitonga njoo tuzungumze kwa herufi kubwa, niambie sh ngapi, na upo wapi hapa DAR tuje kufanya biashara nirekebishe ghetto langu
Natafuta mtu wa kufanya investment ya mtaji kwenye kampuni, Nimesecure biashara ya mazao ya kusupply zaidi ya tan 30 kila mwezi ila nimekwama kwenye mtaji. Natanguliza shukrani wakuu.
Jaribu kuagiza kupitia Alibaba.Nipeni connection wapi ntaweza Pata masofa (furnitures)imported kwa bei nzuri
Mzee wa connection hapa nimekwama
Ova
Natafuta mwekezaji, kilimo cha papai za kisasa, shamba aka 1, tayari nimelima na kuweka mbolea, imebaki kupanda miche. Pia dawa na gharama za umwagiliaji kwa mwekezaji. Idadi ya miche ni 580.
Shamba liko karibu na kituo cha SGR Soga. Gharama ya miche ya papai ni 2500 kwa mche. Kuna bwawa la maji ya kutosha mwaka mzima. Water pump ya kumwagilia maji ipo. Kwa maelezo zaidi PM.
Ipo Kibaha, mkoa wa Pwani. Unaingilia Kongowe, Morogoro road. Uwekezaji ni wa miaka 2.me naweza kuwekeza hii mkuu, ila maelezo bado hayajatoshelezaa, SGR Soga ipo mkoa gani wilaya ipi ?
Nicheki 0676113447wakuu mwenye kujua soko la mahindi aniunganishe tafadhali
Nicheki 0676113447Wakuu mimi ni mfanyabiashara, Natafuta soko la kuuza Karoti, Vitunguu & pili pili hoho kutoka Nyanda za juu kusini kwenda mkoa wa Dodoma...
Nicheki 0676113447Mwenye kuitaji biashara yavitunguu toka Singida kwenda Kona yoyote yaTanzania na nchi jilani anicheki tusaidiane me nipo Singida Sokoni
Kuanzia 25MAje na pesa kiasi gani?
Basi nikiwa na ka event kangu nitakutafuta, si hata sahani 30 au 20 mnaweza andaa??
Kuna siku nilivyokuwa Dar, niliamua kwenda Karume ila sasa kabla sijafika Karume yenyewe, katikati ya round about ya Kariakoo na Karume yenyewe nikakutana na nguo kali za kushonesha alafu bei maandazi kabisa, kama upo Dar hebu jaribu hiyo.Wakuu nahitaji vitu hivi kwa uhakika weekend hii..
Suruali za kitambaa rangi ya Dark blue Mtumba,
Mashati meupe ya mikono mirefu Yale yenye mapindo kifuani wanavaa sana kwenye graduations wanaita ya Taksida kama sikosei.
Moka za dukani..
Kwa ufupi hizi ni nguo za graduation, unaweza ukapata picha halisi..
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Zikiwa mpya dukani zinakuwa sh ngapi?View attachment 1630467
View attachment 1630468
View attachment 1630469
Hp desk iyo inauzwa bei 85,000 karibu ukiitaji