dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Fursa hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran sana Jiwejr naamini huu uzi utakuwa mkubwa watu tofauti tofauti watakutana humu wanaohitaji connection in Shaa Allah watapata wanaohitaji wafanya kazi pia watapata umefikiria kitu kikubwa sana hongera!Mkuu usichoke elezea ajira/kazi au tenda ipi , connection utapata tu
Kama kuna anae hitaji mpunga kutoka madibila, ubaruku, njoo pm bei kwa debe 7000, njoo ninao mwingi sana.
Kiaje yaniNatafuta connection ya mnunuzi wa mbao (hardwood) tunaweza fanya kama wabia
Habari..!khanga nenda urafiki kiwandani
Aisee majora bei ya jumla sijajua yanachukuliwa wapi,Habari..!
dada unawezajua, chimbo la vitambaa vya nguo za kike kwa bei ya jumla.
Sawa! AsanteAisee majora bei ya jumla sijajua yanachukuliwa wapi,
au jaribu kuchunguza mnazi
Habari..!
dada unawezajua, chimbo la vitambaa vya nguo za kike kwa bei ya jumla.
Asante sana! KamandaKariakoo mtaa upande wa pili wa barabara msimbazi police station
kwanin unauzaSaloon inauzwa mbezi juu nicheki WhatsApp 0742537423View attachment 1476686View attachment 1476687View attachment 1476688View attachment 1476690