Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asali yako unauzaje? Lita tano nkMie niko Singida asali yangu ni ya Tabora na Singida ni nzuri sana tuwasiliane
Una kilo ngapi na Bei yakoHabar,Naitaji connection za zao la karanga,karanga zangu ni kutoka mikoa ya Tabora na Singida.karanga rangi ni nyeupe kwa mwenye kujua soko tafadhari ni pm nitakucheki
Unapatikana wapiHabar,Naitaji connection za zao la karanga,karanga zangu ni kutoka mikoa ya Tabora na Singida.karanga rangi ni nyeupe kwa mwenye kujua soko tafadhari ni pm nitakucheki
Singida wilaya ya ManyoniUnapatikana wapi
Nina tan kumi napatikana Singida wilaya ya ManyoniUna kilo ngapi na Bei yako
Kilo moja ni 5000|=Nina tan kumi napatikana Singida wilaya ya Manyoni
Ninauza kwanzia kilo 30 kwa bei ya 230000/=Asali yako unauzaje? Lita tano nk
Unalima mwenyewe au unanunua kwa wakulima?Singida wilaya ya Manyoni
Nalima na kununua yaani nafanya stockUnalima mwenyewe au unanunua kwa wakulima?
unauza Tsh ngapi
Ainisha bei hapa mkuuNalima na kununua yaani nafanya stock
Kwaa maelezo zaidi naweza kukutumia whats appAinisha bei hapa mkuu
weka na picha za karanga
Mzee baba taarifa zote muhimu ziweke hapa kwa faida ya wote.Kwaa maelezo zaidi naweza kukutumia whats app
Hiyo iriki ni ya wapi?Mkuu nimekufata inbox
Mi nipo mbeya ...mahindi yapo hapa.....ila kuplka dar niww baada ya kununua usafir upo all the timeMi natafuta wauzaji wa mahindi wanaotoa mkoani kuleta Dar