Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Karibu tufungie mfumo wa umeme {wiring installation} kwa vifaa vyenye uimara madhubuti kwenye nyumba yako kwa gharama nafuu sana

fika ofisini kwetu Geita magogo centre au wasiliana nasi kwa 0717843000 0769621149 068 242 5229
 
Karibu tufungie mfumo wa umeme {wiring installation} kwa vifaa vyenye uimara madhubuti kwenye nyumba yako kwa gharama nafuu sana

fika ofisini kwetu Geita magogo centre au wasiliana nasi kwa 0717843000 0769621149 068 242 5229
IMG_2662.jpg
 
JIFUNZE LUGHA YA KIINGEREZA MWEZI DISEMBA

Jifunze lugha ya kiingereza kwa gharama nafuu na uhakika. Tunafundisha lugha hii kwa madaraja

1. Beginners class (wanaoanza)

Level one 50, 000 TZS
Level two 50,000 TZS
Level three 50,000 TZS

2. Intermediate class
Level one 50,000
Level 50,000

3. Advanced
Level one 50,000
Level two 50,000
Level three 50,000


Kwetu kujua kiingereza ni uhakika.
Tunapatikana Kiluvya Gogoni, Shule ya Sakana Sekondari, na pia tunafuata nyumbani kwa wateja wanaohitaji huduma hii.
Kwa maelezo zaidi piga 0743123946, 0684436954
 
Mimi ni Mwalimu wa Lugha ya kiingereza.

Nafundisha wanafunzi wa madaraja yote

1. Begginers
2. Intermediate
3. Advanced

Naanza na daraja la Begginers mwezi Disemba.

Mawasiliano
0684436954 call
0743123946 whatsapp & call

Nafundisha kwa kufuata mwananfunzi. Karibuni sana.
 
Nauza Mahindi mabicha kwa ajili ya kuchoma
Mbegu niliyo tumia : Pioneer
Ukubwa wa Shamba : 1 Acre
Location : Bwawa la kisisi ( Singida vijijini )
Nilipanda : 09/08/2021
Contact : 0769574120/0626244365
 
Mimi ni Mwalimu wa Lugha ya kiingereza.

Nafundisha wanafunzi wa madaraja yote

1. Begginers
2. Intermediate
3. Advanced

Naanza na daraja la Begginers mwezi Disemba.

Mawasiliano
0684436954 call
0743123946 whatsapp & call

Nafundisha kwa kufuata mwananfunzi. Karibuni sana.
Ticha ujaandika upo wapi?
 
nahitaji kufanya biashara ya kuuza kuku,,,. mwenye connection anipatie. Nahitaji kuuza wa kienyeji DSM. Mwenye connection ya machimbo ya wapi naeza pata kuku wazuri hata mkoani fresh na pia wapi naeza pata soko zuri kwa dsm. namba zangu ni 0744445826, au 0676830523 naomba nipe connection, nipe connection, nipe connection
 
nahitaji kufanya biashara ya kuuza kuku,,,. mwenye connection anipatie. Nahitaji kuuza wa kienyeji DSM. Mwenye connection ya machimbo ya wapi naeza pata kuku wazuri hata mkoani fresh na pia wapi naeza pata soko zuri kwa dsm. namba zangu ni 0744445826, au 0676830523 naomba nipe connection, nipe connection, nipe connection

Kuku wengi wanachukua singida, tabora na dodoma kiasi. Kwa dsm naona wengi wanafikishia manzese ila masoki ya dsm yana udalali mwingi
 
Back
Top Bottom