changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Naishi dar, kilo elfu sabaUnauzaje per kilogram na unapatkana wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naishi dar, kilo elfu sabaUnauzaje per kilogram na unapatkana wapi
Aiseeeee,,, mpaka uwe na dalali ndo unauza?Kuku wengi wanachukua singida, tabora na dodoma kiasi. Kwa dsm naona wengi wanafikishia manzese ila masoki ya dsm yana udalali mwingi
Karibu PM.Nahitaji mayai kwa bei ya jumla
Wapo wapi?Naomba connection na wanunuzi wa dagaa wa nyama.
DarWapo wapi?
Mimi ninayo hiyo michine juice ya miwaWakuu naomba connection nipate machine ya juisi ya miwa.
njoo tuongeeMwenye kujua soko la ulanga au (mica) aje tupeane mchongo.
Unahitaji kiasi gani ba bajeti yako per tray sh ngapi?Nahitaji mayai ya kisasa.. Nipo kimara
0745098591
Naombeni Kujua Hivi Kuna Mashine maakumu za Kukaangia Karanga?? Kama kuna aliye wahi pata mashine hiyo anipe uzoefu wake tafadhali
1. Je nibei gani kinunua?
2. Ina uwezo wa Kukaangia kiasi gani kwa siku ?
Je ina uwezo wa upande wa Kufungashia karanga(packaging)
Asante
Sokoni Mabibo maarufu kama mahakama ya NdiziWakuu naomba kujua mahindi mabichi kwa wale wanaochoma barabaran wananunuaga wapi ukiwa dar?? Na kwa bei gan
Unauzaje nipo moshiKaribu PM.
Mkuu dagaa wa Kigoma ni wa ziwa Tanganyika, Sumbawanga hapa wapo wengi wamekaushwa kwa jua. Bei ina range, 8000, 9000, na 10k kwa kilo kwenye stoo.Mliopo kigoma naomba kujua upatikanaji wa dagaa wa kigoma na migebuka upoje na bei imesimama vipi kwa sasa, pia upatikanaji wa leseni ya kusafirisha dagaa to Dar.
Usafiri una kampuni inaitwa Mtandao, au kwa haraka tunaweza tumia mabasi, mzigo hata kg 100 unafika. Njoo PM tufanye biashara.Mliopo kigoma naomba kujua upatikanaji wa dagaa wa kigoma na migebuka upoje na bei imesimama vipi kwa sasa, pia upatikanaji wa leseni ya kusafirisha dagaa to Dar.
Ipo inakaanga kuanzia kg 4 kwa Dakika 15 Inatumia gesi 0627518825
Hiyo portable popcorn maker inakaanga karanga, 85,000/=
Sidhani kama inajaa hata nusu kilo