Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Kwa Ramani, Ujenzi
+255752662663
IMG-20220424-WA0024.jpg
 
Mnaohitaji Dagaa wa.kukaanga kutoka Mwanza mnicheki watsap ONLY 0744033555
 
Kwa mahitaji ya kudizaini logo na kuprint mabango, T-shirts, Stickers,business cards na branding materilas mbalimbali tucheki SantaPrint
Tupo ubungo-mawasiliano, Tumepakana na stendi ya daladala (simu 2000).
Contact; 0765 920 434.
View attachment 2194179

Mabango
Usichukulie poa nguvu ya bango! Bango lifafanualo bidhaa/huduma zitolewazo na biashara yako lina nguvu yakuwavuta wateja ambao wangekupita. Karibu tukudizainie,print nakukuwasilishia bango lako.
Tupo ubungo-mawasiliano, Tumepakana na stendi ya daladala (simu 2000).
Contact; 0765 920 434.
View attachment 2194286
View attachment 2194282

View attachment 2194283



T-shirt printing
.@santaPrint Tunaprint Tshirts kwa ajili ya uniform za wanafunzi/maofisini,taasisi za kiserikali na dini ,katika idadi yeyote kwa uharaka & weledi wa hali ya juu. Tuna offer free designs ukiprint nasi.
Tupo ubungo-mawasiliano, Tumepakana na stendi ya daladala (simu 2000).
Contact; 0765 920 434.
View attachment 2194191

View attachment 2194193


Business cards
Tunakudizainia,print na kukuwasilishia a memorable business card itayosaidia in your networking journey.
Tunadesign na kuprint Business Cards Bei ni kwa 100pieces;
  • One side 15000 kwa 100pcs
  • Two sides 25000 kwa 100pcs
  • Laminated one side 25000 kwa 100pcs
- Laminated both sides 35000 kwa 100pcs
Tupo ubungo-mawasiliano, Tumepakana na stendi ya daladala (simu 2000).
Contact; 0765 920 434.
View attachment 2194242

Kuprint vikombe
Kikombe kilicho printiwa kinaweza kutumika kama branding materials ofisini au kama zawadi kwa kuweka picha ya umpendae
@SantaPrint Tunaprint vikombe kuanzia kimoja nakuendelea @ Tshs 10,000 tu(printing + kikombe)
Hakifutiki kikioshwa

Tupo ubungo-mawasiliano, Tumepakana na stendi ya daladala (simu 2000).
Contact; 0765 920 434.
View attachment 2194244
View attachment 2194249

Vifungashio
Ongeza public visibility na vifungashio vyenye brand yako ili mteja atembeapo ameshikilia mfuko, watu waone brand yako.
@SantaPrint tunafanya customized prints kwenye vifungashio Kama hivi na vya namna mbalimbali.
Tupo ubungo-mawasiliano, Tumepakana na stendi ya daladala (simu 2000).
Contact; 0765 920 434.
View attachment 2194287


Picha mbao
High quality picture mbao zilizokuwa laminated na transparent sticker ya kung'aa katika frame ya kibao.
[emoji830]︎Hazipauki wala kuloana
[emoji830]︎Haivunjiki (imegundishwa kwenye mbao sio frame ya kioo)
A4-10k
A3-20k
A2-50k
A1-100k
Tunafanya kazi pia kwa ukaruibu na wapiga picha kwa kuwapa huduma ya kuprint picha zao.
Tupo ubungo-mawasiliano, Tumepakana na stendi ya daladala (simu 2000).
Contact; 0765 920 434.
View attachment 2194284
View attachment 2194311


Bronchures
Branding material:Tripod brochures Size:A4
Matumizi: kuainisha bidhaa/huduma zifanywazo na biashara au taasisi.
Ni back up nzuri utakayomuachia prospect client Kama reminder aionapo.
Tupo ubungo-mawasiliano, Tumepakana na stendi ya daladala (simu 2000).
Contact; 0765 920 434.
View attachment 2194310



Picha za saa
Tunakuprintia picha yako/logo ya ofisi yako nakukuwekea artwork hiyo kwenye frame ya saa inayosoma majira. Muse:
@jokateM
Size: A3(42.0× 29.7cm)
Price:40,000Tshs
Delivery time:Siku moja.
Tupo ubungo-mawasiliano, Tumepakana na stendi ya daladala (simu 2000).
Contact; 0765 920 434.
View attachment 2194323
Kazi nzuri
 
[emoji460][emoji2211]Kwa ufupi sana kuna jezi Original lakini mimi nauza Jezi Original SANA

#UziKamaJezi

Piga simu 0688938518 kupata jezi zote Kalii na Original Quality ______

Dar es Salaam free derivery [emoji736]

Mikoani tunatuma kirahisi na uhakika sana [emoji736]

Mzigo wa msimu ujao ndio unaingia hivyo! Jezi ya Manchester United na Chelsea home kits msimu ujao zina patikana hivi sasa Dukani kwetu waungwana [emoji518][emoji2089]
FB_IMG_1652890343808.jpg
FB_IMG_1652890346847.jpg
FB_IMG_1652890336399.jpg
FB_IMG_1652890331467.jpg
 
[emoji460][emoji2211]Kwa ufupi sana kuna jezi Original lakini mimi nauza Jezi Original SANA

#UziKamaJezi

Piga simu 0688938518 kupata jezi zote Kalii na Original Quality ______

Dar es Salaam free derivery [emoji736]

Mikoani tunatuma kirahisi na uhakika sana [emoji736]

Mzigo wa msimu ujao ndio unaingia hivyo! Jezi ya Manchester United na Chelsea home kits msimu ujao zina patikana hivi sasa Dukani kwetu waungwana [emoji518][emoji2089]View attachment 2229967View attachment 2229968View attachment 2229970View attachment 2229972
Weka bei mjomba
 
[emoji460][emoji2211]Kwa ufupi sana kuna jezi Original lakini mimi nauza Jezi Original SANA

#UziKamaJezi

Piga simu 0688938518 kupata jezi zote Kalii na Original Quality ______

Dar es Salaam free derivery [emoji736]

Mikoani tunatuma kirahisi na uhakika sana [emoji736]

Mzigo wa msimu ujao ndio unaingia hivyo! Jezi ya Manchester United na Chelsea home kits msimu ujao zina patikana hivi sasa Dukani kwetu waungwana [emoji518][emoji2089]View attachment 2229967View attachment 2229968View attachment 2229970View attachment 2229972

Jezi zako original unauza bei gani?

Unanunua kutoka wapi?
 
Je Upo Mjini Geita Na maeneo Jirani Na Ulikua Unatafuta wapi utapata vifaa bora na imara vya umeme Lakini Hela Yako Imepelea basi soma hapa chini

Njoo Geita Magogo center au wasiliana nasi 0769621149 0717843000

Kuhusu gharama utanipatia hela kidogo ya maji tuendelee kuishiView attachment 2231944
 
Leo bhana nimekuja kwenye jukwaa langu pebwa la.connection za biashara. Nakilicho nileta hapa niswala moja moja kama sio mawili
(A) Ni namna gani ntaweza kupata soko la.mazao ya chakula katika visiwa vya commoro
(B) Kama kuna member ambaye anafanya biashara.katika visiwa ivyo naomba tuwasikiane.kupitia +25625826352
 
Back
Top Bottom