Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Ukito anamba ndio bomba zaidi.. namba yangu whatsapp ni 0767935050

Mfano nilipo kuwa nawaza kuwekeza katika vinywaji vikali makambako na mafinga vilikuwa kichwani mwangu..ila nikaamua kuanza na Korogwe
Jaribu kutembelea ubaruku mbeya , kuna duka linauza mpaka linaleta maringo , pombe kali jumla majuice na maji
 
Uwakala Tbl pia utatusua tena chap zaidi naye anafeli feli aliyepo , anakaushwa ovyo
 
Mwenye rozela au hibiscus tuwasiliane
IMG_6209.jpg

Nahitaji tani 7.
 
Nahitaji chimbo la Mifuko mitupu Aina hii pekee, kwa bei ya jumla nahitaji mingi Sana kama pieces 10,000
IMG-20220617-WA0000.jpg
 
Uchenjuani dhahabu kwa njia za kisasa maarufu kama marudio, ila sharti uwe na mtaji wa kutosha na kifua kipana! sababu hasara / faida ya milioni 100 -300 ni kitu cha kawaida sanaa, …
 
Kwamba wewe una hiyo konekisheni?
Uchenjuani dhahabu kwa njia za kisasa maarufu kama marudia, ila sharti uwe na mtaji wa kutosha na kifua kipana! sababu hasara / faida ya milioni100 -300 ni kitu cha kawaida sanaa, …
 
Uchenjuani dhahabu kwa njia za kisasa maarufu kama marudio, ila sharti uwe na mtaji wa kutosha na kifua kipana! sababu hasara / faida ya milioni 100 -300 ni kitu cha kawaida sanaa, …
Sio kweli mkuu. Hasara ni mara chache sana hasa maeneo yenye machimbo kwasababu unanunua kitu ulichopima maabara. Na haihitaji conmection zaidi ya mtaji.
 
Back
Top Bottom