Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 3,380
- 5,906
unawapa chakula gni?Kaka kuku ukitak watange wape chakula tu washibe tu
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unawapa chakula gni?Kaka kuku ukitak watange wape chakula tu washibe tu
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Be honest kaka natumia chakula mara nying cha layers na pumba mara nying simetime nawek majani ivyooo maan pia nafuga wa kisasaunawapa chakula gni?
Hiyo ndio bei ya jumla? Asante
Jaribu kutembelea ubaruku mbeya , kuna duka linauza mpaka linaleta maringo , pombe kali jumla majuice na majiUkito anamba ndio bomba zaidi.. namba yangu whatsapp ni 0767935050
Mfano nilipo kuwa nawaza kuwekeza katika vinywaji vikali makambako na mafinga vilikuwa kichwani mwangu..ila nikaamua kuanza na Korogwe
SijaelewaUwakala Tbl pia utatusua tena chap zaidi naye anafeli feli aliyepo , anakaushwa ovyo
Ndioo unatak kwa sh ngpHiyo ndio bei ya jumla? Asante
ujasema upo wapAnayetak broiler anichekii pia mayai yote yaan kiinyeji na mayai kisasa
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Vipi mwamba ushapata connectionMwenye connection ya afisa yeyote mkubwa ndani ya JWTZ tuwasiliane.
Uchenjuani dhahabu kwa njia za kisasa maarufu kama marudia, ila sharti uwe na mtaji wa kutosha na kifua kipana! sababu hasara / faida ya milioni100 -300 ni kitu cha kawaida sanaa, …
Bado boss vipi unayo?Vipi mwamba ushapata connection
Bado kakaVipi mwamba ushapata connection
Yenye nembo hiyo ama ujazo huo pekee?Nahitaji chimbo la Mifuko mitupu Aina hii pekee, kwa bei ya jumla nahitaji mingi Sana kama pieces 10,000View attachment 2274601
Sio kweli mkuu. Hasara ni mara chache sana hasa maeneo yenye machimbo kwasababu unanunua kitu ulichopima maabara. Na haihitaji conmection zaidi ya mtaji.Uchenjuani dhahabu kwa njia za kisasa maarufu kama marudio, ila sharti uwe na mtaji wa kutosha na kifua kipana! sababu hasara / faida ya milioni 100 -300 ni kitu cha kawaida sanaa, …
Sio kweli mkuu. Hasara ni mara chache sana hasa maeneo yenye machimbo kwasababu unanunua kitu ulichopima maabara. Na haihitaji conmection zaidi ya mtaji.