Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu zulia la manyoya yapo 5/6, 6/6 na 9/10 nipigie au WhatsApp 0744588179Nahitaji zuria la kuoamba sebule yangu mwenye nalo ane tuyajenge
Njombe Matembwe unapata Dumu la ujazo 20L kwa 110,0000tshKiongozi nitafute tuyajenge DM
Excavator unafanya Bei gani kwa saa? Je kwa kazi ya siku kumi unaweza kuja Moshi?Habari,
Anayeitaji machinery equipments Kama excavator,backhoe,grader na nyingine tuwasiliane natoa commission pia kwa atayeleta Kazi office zipo kimara.Njoo Dm kwa majadiliano zaidi.
Yes nakuja provided mobilization go and return plus masaa nane ya kazi 850,000( mafuta juu yako,drive juu yangu)Excavator unafanya Bei gani kwa saa? Je kwa kazi ya siku kumi unaweza kuja Moshi?
Habari zenu wakuu Katavi kuna fursa gani nzuri ya biashara maana nasikia watu wanaongea sana kuhusu biashara kufanya biashara mkoa wa KataviMkuu hebu share na sisi hizo fursa
Karibu sana Vodacom kwa huduma bora na uhakika.Kama nawe ni miongoni mwa waalimu hapo, basi kiswahili fasaha kwaheri
Wapi nitapata nguo za kimichezo kwa bei ya jumla. Yaani kama tracksuits na jezi za timu mbalimbali kwa bei ya Mtanzania.
lipo maeneo gani hili eneoEneo la mgahawa au bar linapangishwa. Bei ni 350,000 kwa mwezi. Eneo liko ndani ya fence, kuna usalama, viti vipo. Counter na jiko vina hali nzuri. Mawasiliano 0654465446View attachment 2281882
Uko wapi unanunua bei ganiNaomba konekisheni ya kupata mbolea ya kuku wa kisasa
Bei gani?KONTENA LIKO SOKONI
WATSUP/CALL 0788104228