rutajwah
Member
- Nov 17, 2022
- 89
- 101
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
huu uzi ni maalum kwa wale walio omba mafunzo ya kilimo kwa vijana, yatakayofanyika Bihawana Dodoma.
Mpaka dirisha linafungwa vijana 16 elfu walikuwa washatuma maombi
source,
Kituo cha bihawana kina uwezo wa kuchukua vijana 74
source,
mwenye updates zozote apost hapa kwani kwenye tangazo ni kwamba mafunzo yanaanza tarehe 15 feb.
Je mchakato wa kuwapata ukoje?
wanahitajika wangapi excactly?
Kituo cha bihawana tu ndo kitapokea watu au na vingine vitapokea?
Natanguliza shukrani......
huu uzi ni maalum kwa wale walio omba mafunzo ya kilimo kwa vijana, yatakayofanyika Bihawana Dodoma.
Mpaka dirisha linafungwa vijana 16 elfu walikuwa washatuma maombi
source,
Kituo cha bihawana kina uwezo wa kuchukua vijana 74
source,
mwenye updates zozote apost hapa kwani kwenye tangazo ni kwamba mafunzo yanaanza tarehe 15 feb.
Je mchakato wa kuwapata ukoje?
wanahitajika wangapi excactly?
Kituo cha bihawana tu ndo kitapokea watu au na vingine vitapokea?
Natanguliza shukrani......