Uzi maalumu wa kusubiri post za ajira za TAMISEMI

Uzi maalumu wa kusubiri post za ajira za TAMISEMI

Mimi kama Good Vision nishaona keka lipo tayari, na wenye mhemko wanao subili kwa hamu wengi watachinjwa, maana pressure = no confidence [emoji23][emoji23]
 
vp washaanza kuongea
Screenshot_20230605-160304.png
 
Wangapii leo hiii wanafanyaa ajiraaa lakn ni tofaut na walichosomeaa na wanakulaa mshahara mnono tuuh tofaut na wenzao waliosoma pamoja
Yes, that's true.

I know somebody somewhere alisomea PR & ADVERTISING lakini kwa sasa ni LOGISTIC OFFICER in one of reputable International Agency.

Mshahara ni >2.5M
 
Samahan ndg zang, nilifungua akaunt ya AJIRA PORTAL badae nikasahau password yake alaf nmefungua nyingne lkn kila nikiweka namba ya NIDA wananiambia imeshatumika naomba mnisaidie naweza kufanyaje ili kuendelea na akaunti hii mpya?
 
Back
Top Bottom