Uzi maalumu wa kutaja majibu ya kukatisha tamaa, ya hovyo au kuchefua ulowahi kuyapata kutoka kwa shangazi zako

Uzi maalumu wa kutaja majibu ya kukatisha tamaa, ya hovyo au kuchefua ulowahi kuyapata kutoka kwa shangazi zako

Heri mimi sina shangazi na mimi ni Auntie si shangazi😅
 
Wakati naishi kwa shangazi yangu mimi ndo nilikua mtoto mpole naependwa na kila mtu pale mtaani isipokua shangazi yangu yeye alinitendea kama mtoto flani mbaya sana.
 
Back
Top Bottom