osmaney
JF-Expert Member
- Jan 18, 2017
- 1,042
- 998
Habari wanaJF
Polen na majukumu piaa hongereni kwa utaftaji. MUNGU awajalie katika utaftaji wenu.
Lengo la huu uzi sio ni kuwakumbuka na kuwaombea washkaji zetu waliotutoka enzi za utoto wetu
Natumani huenda wangekuepo bado wangekua washikaji zetu na tungeshirikiana nao mambo mbalimbali, lakini ndio hivyo kazi ya MUNGU haina makosa.
Naomba tuchukue hii nafasi kuwakumbuka na kuwaombea.
Mbele yetu, nyuma yao😪
Kwa kuanza na Mimi. R.I.P kwa washikaji zangu wote waliotangulia mbele ya haki🙏
Polen na majukumu piaa hongereni kwa utaftaji. MUNGU awajalie katika utaftaji wenu.
Lengo la huu uzi sio ni kuwakumbuka na kuwaombea washkaji zetu waliotutoka enzi za utoto wetu
Natumani huenda wangekuepo bado wangekua washikaji zetu na tungeshirikiana nao mambo mbalimbali, lakini ndio hivyo kazi ya MUNGU haina makosa.
Naomba tuchukue hii nafasi kuwakumbuka na kuwaombea.
Mbele yetu, nyuma yao😪
Kwa kuanza na Mimi. R.I.P kwa washikaji zangu wote waliotangulia mbele ya haki🙏