Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapumzike kwa aman wenzetu, tusichoke kuwaombea🙏Anna- school mate wa std 7, nayakumbuka macho yako makubwa ya duara, ulikua mpole na siku zote ulipenda kuniwekea mkono wako begani mwangu iwe tumekaa au tunatembea, ulikua na ndoto ya kua daktari, Homa ya Mapafu ikakatisha ndoto zako, R.I.P Angel.
Aminu- school mate olevel, ulikua mjanja sana, uliipenda biashara na ulisema utakuja kua mfanyabiashara mashuhuri, nakumbuka tulipokua tunajadiliana mambo makubwa kuliko umri wetu, i'm glad i met you, Malaria ikakatisha ndoto zako, Innalillah wainna illah Rajiun.
Issa- Childhood friend, ulinipenda sana, ulisema ungekuja kunioa no matter what, nilikua nachukia ukianza hizo mada, kila mtu mtaani alijua Issa anampenda Culture, tulikua wazee wa kamati kwenye mambo yote yaliyohusu shughuli za watoto na vijana, ulipenda sana muziki na kudance, barabara ile ya Victoria ikakatisha uhai wako, Rest Easy Mwamba.
Deo- daah ukanipigia simu unataka kurudi kwenu ukasalimie wazazi wako, kumbe ndio uliniaga jumla, yale maji ya bahari yakaondoka na roho yako, R.I.P Besty, ulikua huongei lakini ukiwa na mimi unapiga story tunacheka, walikushangaa hadi wakakuzoea. [emoji24]
usichoke kumuombea mkuu, apumzke kwa aman uko alpo🙏2012 mshkaj wng straton baada ya furaha ya sisi kumaliza olevel siku ya graduation ulikuwa na pikipiki furaha zilizidi kumbe ile siku ndio ulikuwa mwisho wako uliniambia unachomoka mara moja unaenda road apo kufuata fegi baada ya dk5 nasikia ukunga uku watu wakikimbilia barabarani kumbe ukiingia na pikipiki chini ya semi kichwa kikafumuka na ndoto zako zikaishia hapo hapo nakujuza tuu ulipo baada ya wewe kuondoka matokeo yalikuja umepata Div2 nalikumbuka sana shati lako jeupe jipya ulilovaa ile siku ila ghafla lilikuwa jekundu. Nakukumbaga Sana mpaka leo na nakuombea uendelee kupumzika kwa amani. Amen
tusichoke kuwaombea wenzetu🙏Dua Said, my classmate Mahiwa Sec. Alilazimika kukatwa mguu baada ya kansa kumshambulia, bado haikufaa kwa yeye kuendelea kuishi duniani hatimaye akafariki miezi kadhaa mbele. Bado nakukumbuka sana Mahiwa Boy.
Abby, friend wa ukubwani. Baada ya miaka mingi ya kutoanana nikapokea tarifa ya kifo chako. Ilikuwa ngumu kupokea lakini hakukuwa na namna. R.I.P Swahiba, Nyangao inakumiss.
Mohamed daa ulikuwa mwanangu nakumbuka mwaka 2005 kuna mjinga mmoja alikuzingua ilikuwa pasaka uka mpa kichapo bahati mbaya alikujerui kwa jiwe tuka kupeleka hospitali ya mkoa tulikuwa na mzee Six tulirudi home usiku mkubwaa ukiwa umeshonwa nyuzi nane!Anna- school mate wa std 7, nayakumbuka macho yako makubwa ya duara, ulikua mpole na siku zote ulipenda kuniwekea mkono wako begani mwangu iwe tumekaa au tunatembea, ulikua na ndoto ya kua daktari, Homa ya Mapafu ikakatisha ndoto zako, R.I.P Angel.
Aminu- school mate olevel, ulikua mjanja sana, uliipenda biashara na ulisema utakuja kua mfanyabiashara mashuhuri, nakumbuka tulipokua tunajadiliana mambo makubwa kuliko umri wetu, i'm glad i met you, Malaria ikakatisha ndoto zako, Innalillah wainna illah Rajiun.
Issa- Childhood friend, ulinipenda sana, ulisema ungekuja kunioa no matter what, nilikua nachukia ukianza hizo mada, kila mtu mtaani alijua Issa anampenda Culture, tulikua wazee wa kamati kwenye mambo yote yaliyohusu shughuli za watoto na vijana, ulipenda sana muziki na kudance, barabara ile ya Victoria ikakatisha uhai wako, Rest Easy Mwamba.
Deo- daah ukanipigia simu unataka kurudi kwenu ukasalimie wazazi wako, kumbe ndio uliniaga jumla, yale maji ya bahari yakaondoka na roho yako, R.I.P Besty, ulikua huongei lakini ukiwa na mimi unapiga story tunacheka, walikushangaa hadi wakakuzoea. [emoji24]
2008,sIlikua lini hii mkuu