Uzi maalumu wa makolo

Uzi maalumu wa makolo

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
630
Reaction score
2,151
Wanathiimbaaaa!!! Naaam kama mbumbumbu efusii walivyoitwa na msemaji wao mwenye upeo finyu ndugu Ahmed ally, nami sina budi kushuka na uzi huu utakaojikita kuchambua masuala mbalimbali yanayowahusu makolo, Simbilizi, mbumbumbu au ukipenda waite mazumbukuku academy !!

Kuwa shabiki wa makolo ni lazima kwanza ujikatae, yaani weka akili zako pembeni maana simba sc kwa tafasili nyingine ni taasisi ya wakosa akili, mapunguani na mahayawani..Yes, kama ulivyo sikia, simba sc ni kikundi cha mahayawani.

Uhayawani na uzumbukuku wa watu wote wanaojihusisha na simba ni suala lisilo jificha, ebu ona walivyojipa umuhimu kwenye mechi ya Yanga afrika na mamelod mpaka wakasahau kuandaa kikundi Chao cha wazee mwisho wa siku wakatobolewa home and away!,. Hilo likapita baada ya Yanga afrika kutolewa wakajikita tena kushangilia kutolewa kwa Yanga sc, badala ya kuandaa mandondocha yao akina par omar jobe na babacar dhidi ya mashujaa, matokeo yake yakakandwa na timu ya wapiga nyeto, "mashujaa efusii toka kigoma moyaa!

Timu limejaa wajuaji, kila shabiki ni mchambuzi hadi boss Mo au mdi nae amejikita kwenye uchambuzi, tajiri anachambana na mashabiki twitter, kocha anawatukana wachezaji hawana viwango, Mangungu anawapiga mikwara mashabiki wasema kweli, huku try again anajipigisha vipicha na mwijaku wa Kongo bwana mayele, yaan kwa kifupi timu ya Simba ni sawa na kikundi cha unenguaji kilichotamba sana mitaa ya kinondoni cha "kanga moko, ndembendembe laki si pesa". Timu haina dira inayumba kama kalio za kahaba wa uwanja wa fisi anaewahi kichwa.. Afalaaaneki!!!!
 
Wanathiimbaaaa!!! Naaam kama mbumbumbu efusii walivyoitwa na msemaji wao mwenye upeo finyu ndugu Ahmed ally, nami sina budi kushuka na uzi huu utakaojikita kuchambua masuala mbalimbali yanayowahusu makolo, Simbilizi, mbumbumbu au ukipenda waite mazumbukuku academy !!

Kuwa shabiki wa makolo ni lazima kwanza ujikatae, yaani weka akili zako pembeni maana simba sc kwa tafasili nyingine ni taasisi ya wakosa akili, mapunguani na mahayawani..Yes, kama ulivyo sikia, simba sc ni kikundi cha mahayawani.

Uhayawani na uzumbukuku wa watu wote wanaojihusisha na simba ni suala lisilo jificha, ebu ona walivyojipa umuhimu kwenye mechi ya Yanga afrika na mamelod mpaka wakasahau kuandaa kikundi Chao cha wazee mwisho wa siku wakatobolewa home and away!,. Hilo likapita baada ya Yanga afrika kutolewa wakajikita tena kushangilia kutolewa kwa Yanga sc, badala ya kuandaa mandondocha yao akina par omar jobe na babacar dhidi ya mashujaa, matokeo yake yakakandwa na timu ya wapiga nyeto, "mashujaa efusii toka kigoma moyaa!

Timu limejaa wajuaji, kila shabiki ni mchambuzi hadi boss Mo au mdi nae amejikita kwenye uchambuzi, tajiri anachambana na mashabiki twitter, kocha anawatukana wachezaji hawana viwango, Mangungu anawapiga mikwara mashabiki wasema kweli, huku try again anajipigisha vipicha na mwijaku wa Kongo bwana mayele, yaan kwa kifupi timu ya Simba ni sawa na kikundi cha unenguaji kilichotamba sana mitaa ya kinondoni cha "kanga moko, ndembendembe laki si pesa". Timu haina dira inayumba kama kalio za kahaba wa uwanja wa fisi anaewahi kichwa.. Afalaaaneki!!!!
Aahaaa
 
Saa nyingine ukiwasha jifunze kuvumilia
Bila kufanya chochote

Ndo nini hiki mrembo kujipeleka meza za wanaume wenye hela
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI" - DR LUC EYMAEL 2020
 
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg
 
KUIBUKA KWA KWA DINI MPYA YA SIMBA NA YANGA.

Tumeisha waambia Hizo timu kuzishobokea sana kupita kiasi tatizo.

Kila muda simba yanga.
Muda wote mnawaza simba na yanga, hilo ni tatizo na ni kaugonjwa fulani hivi.

Simba na Yanga zimekuwa Dini Tanzania kutwa kucha ni kuziabudu tu.

Mnachezewa Danganya Toto na Goverment maana hivyo ni vyombo vyao vya propaganda.

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
Mtu mwenye akili timamu kabisa unakaa unafikilia kichwani unakuja kuandika upumbavu kiasi hicho.

Hilo jambo linasikitisha sana.
Ukute ni Baba wa Familia na watoto kabisa.

SIMBA NA YANGA ZINAWAFANYA MNAKUWA WEHU KIASI HICHO AIBU YAKO!!!!!!!!
 
Mtu mwenye akili timamu kabisa unakaa unafikilia kichwani unakuja kuandika upumbavu kiasi hicho.

Hilo jambo linasikitisha sana.
Ukute ni Baba wa Familia na watoto kabisa.

SIMBA NA YANGA ZINAWAFANYA MNAKUWA WEHU KIASI HICHO AIBU YAKO!!!!!!!!
Tulia wewe delgado ni kolo, na mwaka huu lazima nnya igonge chupi Maaamae!!
 
Back
Top Bottom