6321
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 649
- 1,117
Habari ya mchana wana JF.
Siwezi kusema sijawah kukamatwa kuwa na cheat, nimekamatwa mara kadhaa lakini sijawahi kukubali kuwa nakataa sijacheat. Mbinu yangu ni kukataa katu katu.
Njoo tupeane mbinu za kizamani na kisasa za kujibu kesi za kucheat pale unapofumwa na mpenzi wako.
Nb. Huu uzi utakuwa mkombozi wa mahusiano mengi ya watu, maana takribani watu 100k kwa 48hrs Tanzania hukamatwa wanacheat wapenzi wao na robo tatu hushindwa kujitetea.
Siwezi kusema sijawah kukamatwa kuwa na cheat, nimekamatwa mara kadhaa lakini sijawahi kukubali kuwa nakataa sijacheat. Mbinu yangu ni kukataa katu katu.
Njoo tupeane mbinu za kizamani na kisasa za kujibu kesi za kucheat pale unapofumwa na mpenzi wako.
Nb. Huu uzi utakuwa mkombozi wa mahusiano mengi ya watu, maana takribani watu 100k kwa 48hrs Tanzania hukamatwa wanacheat wapenzi wao na robo tatu hushindwa kujitetea.