Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Umeanza vzr sana kwenye kichwa cha habari, kilichoendelea sasa,. Hii lugha ni nzuri ukiwa unaongea mwnyew kimoyomoyo[emoji1787]
 
Majani ya mpera yale mateke. Ukitafuta au kuchemsha, dakika 10 nyingi umepata nafuu

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu?jamani naomba mnisaidie dawa za asili ya kumfanyia mtoto ili awe mnene kwa anaejua naomba anisaidie
Hahahah unataka uncle wetu awe bonge au sio, mpikie vyakula vyake kwa Mafuta ya Nazi, ni vizuri kama utayatengeneza mwenyewe
 
Paragis ndio nini kwa kiswahili mkuu
 
Mlishe vizuri, hizi nyingine utamfanya awe mnene kweli ila ni vyema ukatumia kijiko tu atanenepa
ila wewe jamaa una utu sana!
niishie hapa mkuu,baki na utu huu,najua hutajua ni mimi ila sina namna kukubali tiba zako!

kuna wenzetu hapa ukiwaomba dawa wanakupiga bei au chenga ndefu sana hadi unakata tamaa,mmoja yuko hapo anachangia,tuliwasiliana sana mwisho akanikomesha akidhani sitapata tiba,basi tu.
Kaka uwe na amani,nitakuja tena!.
 
Wakuu habari, nina tatizo la macho, ili niweze kusoma gazeti au kutumia simu ni lazima niweke mbali kidogo ndio nitaweza kusoma, na mara nyengine maandishi yanavurugika siyaoni vizuri, je wadau Kuna lishe yoyote au tiba yoyote asilia kabla sijaingia katika miwani au chemical?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…