Nakiomba hiki kitabuWeka mbali na watoto,hilo ni bomu la nyuklia.
Practical and effective
Easy to perform.
Cheap and commonly available ingreduents
No terms and conditions, you perform the rituals you see miracles live.
Only 55 pages.
No blah blah, sijui preface sijui acknowledgements. After Table of contents we start the business directly.
If you want to get effect X, you take a- b -c, then you do 1- 2- 3, wait for the miracles. Hakuna mbwebwe ndo maana Hata kitabu ni kifupi na kina mabomu hatari.
Crocodiletooth
Nahitaji hiki kitabuNinacho[emoji41]View attachment 2363422
Nini chanzo ch ugonjwa wake?Ndugu yangu anasumbuliwa na tatizo la kukosa hedhi ,hivyo inakua ngumu kushika ujauzito ,naomba ushauri tafadhali
Tumia kuchoma dawa inayo itwa almit Moshi wake ukupige usoni itakusaidia sana 🙏🏽Mkuu saidia tatizo la ukungu jichoni, dawa gani tutumie
Huyo mrembo tumie mwani, star anise.... Atafute good qulity ya bidhaa hizo....Nini chanzo ch ugonjwa wake?
Alikua anatumia uzazi w mpango?
Namna ya kudetox ini na figo please....Mwenye shida ya kiafya aje apa tumpe ushauri ama tiba kupitia mimea inayo tuzunguka majumbani.
In limealibika ama?Namna ya kudetox ini na figo please....
Hapana.... Ni katika utaratibu wa kuusafisha mwili...In limealibika ama?
Kuna majani nayafaham kwa jina la lubi au kadugu yatamsaidia sana 🙏🏽Hapana.... Ni katika utaratibu wa kuusafisha mwili...
Aliwahi kutumia zamani kidogo na alifanikiwa kubeba ujauzito sema haikua ridhki ,changamoto ni kwamba kwa sasa hedhi inakuja na kupotea hata miezi mitatu mpaka sita .Nini chanzo ch ugonjwa wake?
Alikua anatumia uzazi w mpango?
Barikiwa ndugu matumizi yake tafadhaliHuyo mrembo tumie mwani, star anise.... Atafute good qulity ya bidhaa hizo....
Baarakallahu fiykaTumia kuchoma dawa inayo itwa almit Moshi wake ukupige usoni itakusaidia sana [emoji1431]
Uyo apate dawa za kuzibua mana njia za uzazi zimeanza kuzibaAliwahi kutumia zamani kidogo na alifanikiwa kubeba ujauzito sema haikua ridhki ,changamoto ni kwamba kwa sasa hedhi inakuja na kupotea hata miezi mitatu mpaka sita .
Kama hutojali mkuu unaweza unielekeze hizo dawa?Uyo apate dawa za kuzibua mana njia za uzazi zimeanza kuziba
Kwanza atumie majani ya mzungwaKama hutojali mkuu unaweza unielekeze hizo dawa?
Mkuu ukijaaliwa na kama unafahamu faida za matumizi wa mmea wa Cassia Alata naomba tujuze inshaallahKwanza atumie majani ya mzungwa
Sawa usijali mkuu nikipata mda nitaletaMkuu ukijaaliwa na kama unafahamu faida za matumizi wa mmea wa Cassia Alata naomba tujuze inshaallah