Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mimi mwenyewe leo Dhul-Hijja mosi. Bakwata sijafuatiliaVipi Iddi ya kujinja mwaka huu wote tutakula pamoja au tayari utofauti umeshajitokeza ? Maana Mimi Leo najua Dhul hijja mosi kwa bakwata sijajua wametangaza vipi.
Cc : Baljurashi
Hahahahaa!! huu haupo active kama ule wa picha za vituko mtandaoni , ila In Shaa Allaah sasa kuanzia sasa nitauhuisha maana shule zimefungwa nitakuwa na muda mwingi free na WA kuwa online.Kwamba tangu 2022 huu uzi ndio nauona leo?