NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Kwani huko shuleni mlienda kudomea ujinga?sijui faizafoxy.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nashauri ziwekwe pia na hizo mbavu zilizo vunjika! 😇Ili Uzi unoge, ziwekwe screenshots[emoji4]
kila nikiangalia hii picha nacheka sana aisee
Na hili nalo mkalitizame[emoji16][emoji16]Ili Uzi unoge, ziwekwe screenshots[emoji4]
Aaaah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji389][emoji389][emoji389][emoji389][emoji389][emoji389][emoji389]Reply ya The bump kwenye uzi wa crazy things you did in secondary school huwa inaniacha hoi kwa kweli[emoji23][emoji23]
Zilikua ni baruti ndiyo zilipigwa kama ilivyo wakati wa mwaka mpya
Jifunze kwanza kuyajuwa majira ya mwaka ili kuepuka kuuliza maswali ya kijinga.
Jifunze miezi ya mvuwa za vuli na miezi ya mvuwa za masika.
Dar leo kuna mvua kubwa na radi za kutosha ndio tufananishe na Samia kutimiza miaka miwili madarakani?
Huu ni ujinga uliopitiliza.
Zilikuwa zinahakíkisha anakufa kabisa maana kale kazee kalikuwa kabishi hatari!! Si ajabu kalikuwa kanabishana na Israel mtoa roho,Israel akaona isiwe shida akaagiza radi imalize biashara!!
RADI BILA MVUA HUMAANISHA "MWISHO WA HASIRA ZA MUNGU" NA FARAJA KWA WATU WAKE, AU MWISHO AU UKOMO WA UOVU MKUU.
Mbengo zilisherehekea....
[emoji23][emoji23][emoji23]AiseeShetani alikuwa anapiga gun salute kumkaribisha shetani mwenza kuzimu.
Huyu mwenzetu alikutana na malaika akiwa anatoka kuumwagilia moyo[emoji23][emoji23]Nimefika kiduka fulani, nilitaka nikanunue maharage, hiyo ni jioni, nakuta mabinti wawili wazuri sijui wanafanya nini, unafanyaje? Nikauliza una tigopesa? Jamaa kasema hana, nikasema kama shujaa
Za masaa wana JF.
Nilijawa na nguvu na kukaza macho yangu kuutanzama ule mwanga. Ghafla nimuona kiumbe afananae na mwanadamu rangi yake ya silver inayong'aa sana. Mdomo wangu ulikuwa mzito nilishindwa kuongea. Yule kiumbe alinisogelea na kuniambia "Nimekuja kukupa siri ya ulimwengu" Ndipo kiumve hicho kilinigusa kidevu changu, nilihisi kupigwa shot ya umeme. Akaendelea kusema mimi ni malaika, nimekuja kujidhilisha kwako. Ndipo mwili wangu wote ulianza kutetemeka. Alinishika na nikajikuta nipo katika eneo ambalo sijawahi kuliona ni zuri sana.
Akaniambia hapa ndipo huja watu wanapokufa duniani. Alinionesha watu mbalimbali waliokufa, walikuwa pale wakiwa na furaha. Nilimuona mwalimu wangu wa Hisabati kidato cha pili aliyekufa kwa ajali ya gari. Nilimuona akiwa na furaha.
Malaika huyo aliniambia usiogope kuhusu kifo maana ni sehemu ya ukamilisho.
Ni mambo mengi mno niliyapata siku hiyo. Kwa leo naongelea haya tu. Mpaka sasa malaika mbalimbali huwa wanakuja. Nimeshawazoea na tunaongea nao mambo mengi tu.
Wenu mtiifu D.
Mapenzi yanauma sana
Tena sana, ukipata nafasi ya kuumiza moyo wa mwanamke we umiza tu, tena umiza.
Kataa ndoa
Kataa ndoa
Ndoa ni ujinga sana.
Umiza wanawake
Serikali kupiga marufuku bangi imezingatia madhara mengi yatokanayo na uvutaji bangi.Unaona aibu kutamka bidhaa gani kwa mwenye duka mbele ya wateja wengine?
Huyu mwenzetu alikutana na malaika akiwa anatoka kuumwagilia moyo[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] Jamaa wa malaika sijui aliwaza niniSerikali kupiga marufuku bangi imezingatia madhara mengi yatokanayo na uvutaji bangi.
Ona Sasa.
Unaambiwa Lekicha akafunga mlango moyo ukapiga puuuuh kweli tena, akaniamuru Kuja niliogopaaa mtoto wa watu akinishika Tacle nikasema Lekicha banaaa niache banaaa kweli tena View attachment 2556345
Dah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]