Uzi maalumu wa replies za JF members zinazovunja mbavu

Uzi maalumu wa replies za JF members zinazovunja mbavu

Reply ya The bump kwenye uzi wa crazy things you did in secondary school huwa inaniacha hoi kwa kweli[emoji23][emoji23]
Aaaah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji389][emoji389][emoji389][emoji389][emoji389][emoji389][emoji389]

Nimecheka kama nunudu
 
Jifunze kwanza kuyajuwa majira ya mwaka ili kuepuka kuuliza maswali ya kijinga.

Jifunze miezi ya mvuwa za vuli na miezi ya mvuwa za masika.

Dar leo kuna mvua kubwa na radi za kutosha ndio tufananishe na Samia kutimiza miaka miwili madarakani?

Huu ni ujinga uliopitiliza.
 
Zilikuwa zinahakíkisha anakufa kabisa maana kale kazee kalikuwa kabishi hatari!! Si ajabu kalikuwa kanabishana na Israel mtoa roho,Israel akaona isiwe shida akaagiza radi imalize biashara!!
RADI BILA MVUA HUMAANISHA "MWISHO WA HASIRA ZA MUNGU" NA FARAJA KWA WATU WAKE, AU MWISHO AU UKOMO WA UOVU MKUU.
Mbengo zilisherehekea....
Shetani alikuwa anapiga gun salute kumkaribisha shetani mwenza kuzimu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Aisee
 
Unaona aibu kutamka bidhaa gani kwa mwenye duka mbele ya wateja wengine?
Nimefika kiduka fulani, nilitaka nikanunue maharage, hiyo ni jioni, nakuta mabinti wawili wazuri sijui wanafanya nini, unafanyaje? Nikauliza una tigopesa? Jamaa kasema hana, nikasema kama shujaa
Huyu mwenzetu alikutana na malaika akiwa anatoka kuumwagilia moyo[emoji23][emoji23]
Za masaa wana JF.
Nilijawa na nguvu na kukaza macho yangu kuutanzama ule mwanga. Ghafla nimuona kiumbe afananae na mwanadamu rangi yake ya silver inayong'aa sana. Mdomo wangu ulikuwa mzito nilishindwa kuongea. Yule kiumbe alinisogelea na kuniambia "Nimekuja kukupa siri ya ulimwengu" Ndipo kiumve hicho kilinigusa kidevu changu, nilihisi kupigwa shot ya umeme. Akaendelea kusema mimi ni malaika, nimekuja kujidhilisha kwako. Ndipo mwili wangu wote ulianza kutetemeka. Alinishika na nikajikuta nipo katika eneo ambalo sijawahi kuliona ni zuri sana.

Akaniambia hapa ndipo huja watu wanapokufa duniani. Alinionesha watu mbalimbali waliokufa, walikuwa pale wakiwa na furaha. Nilimuona mwalimu wangu wa Hisabati kidato cha pili aliyekufa kwa ajali ya gari. Nilimuona akiwa na furaha.

Malaika huyo aliniambia usiogope kuhusu kifo maana ni sehemu ya ukamilisho.

Ni mambo mengi mno niliyapata siku hiyo. Kwa leo naongelea haya tu. Mpaka sasa malaika mbalimbali huwa wanakuja. Nimeshawazoea na tunaongea nao mambo mengi tu.
Wenu mtiifu D.
 
Hahaaaa?
Screenshot_20230325-231312.jpg
 
Back
Top Bottom