ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Mchukueni nyie coach wenu ana helaMlimuacha aliwakataa???mchezaji ana hela kuliko kocha we uliona wapi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchukueni nyie coach wenu ana helaMlimuacha aliwakataa???mchezaji ana hela kuliko kocha we uliona wapi??
Kheee yani ww bwana muda mwingine unajitoa akili..sasa Morrison aliachwa na Ihefu?Simba bhana! Yaani imefikia hatua ya kuhusishwa kusajili wachezaji walioachwa na Yanga!!
Kweli Kanjibai pumzi inaelekea kukata.
Aziz Kii bora alikoswa maana hana analofanya la ajabu hukoKama Kuna wachezaji wame waumiza Simba ki saikolojia ni Aziz K na Manzoki. Jamaa wameteseka na bado Kuna mmoja anaendelea kuwatesa[emoji3][emoji3][emoji3]
Una uhakika bobos bado yupo vipers?Ulikua hujui hilo?
Yah pameendelea kwa kila kituHuko anakocheza ni majini au?
Safari hii mashabiki wa simba wasikubali kuendelea kugeuzwa kuwa mambumbumbu na viongozi wao, kuhusu huyu mchezaji!
Zile story za kumpa kishika uchumba, halafu mwisho wa siku mchezaji hasajiliwi! Zisiwepo kabisa.
Aziz ki kaletwa kuifunga simba yaani ukitaka vita na yanga uwaambie mayele na aziz ki sio wachezaji lakini yote kwasababu wameifunga simba.Aziz Kii bora alikoswa maana hana analofanya la ajabu huko
Yule walimsajili kwa msaada wa TFF. Na wakati huo alikuwa ni Morrison kweli. Hakuwa ameachwa na Yanga kama Saido Ntibazonkiza.
Yah pameendelea kwa kila kitu
Na wataifunga day in day outAziz ki kaletwa kuifunga simba yaani ukitaka vita na yanga uwaambie mayele na aziz ki sio wachezaji lakini yote kwasababu wameifunga simba.
upo serious kabisa unalinganisha ligi ya China na Tanzania? aishi miaka mingi mzee RageSa china kuna mpira gani mkuu???au unataka tubishane tuu wikiend hii
Tubishane kuhusu nini wakati ukweli uko wazi.Sa china kuna mpira gani mkuu???au unataka tubishane tuu wikiend hii
Kama ligi ina lipa wachezaji kuliko baadhi ya timu za EPL anataka mbishane nini sasa?Tubishane kuhusu nini wakati ukweli uko wazi.
Jamaa anabishaga ujinga tu anapenda sana kujitoa akiliKama ligi ina lipa wachezaji kuliko baadhi ya timu za EPL anataka mbishane nini sasa?