Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Wote uliowapanga wanatokea JF?[emoji16][emoji16][emoji16]Nasubiria Kichanga tupime DNA, sina uhakika, niliwapanga kama watatu hivi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote uliowapanga wanatokea JF?[emoji16][emoji16][emoji16]Nasubiria Kichanga tupime DNA, sina uhakika, niliwapanga kama watatu hivi...
Nataka aje anipe mwaliko yeyeUkuje uone tunakula nini...
Signal yangu haisomi kabisa ila kila ikisoma jina linatoka la kaka tuuu hao wengine wapakaza majasho tuuuuu[emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
Wote uliowapanga wanatokea JF?[emoji16][emoji16][emoji16]
Tuache sasa, wenye Ujauzito waje kutuelimisha.....
Nataka aje anipe mwaliko yeye
Mialiko yako nshaichosha kira siku ww tuu yeye mbona hanipi...!!!!![emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Elim uliyo nayo ukiimwaga hapa ni kubwa sana na tutafunguka kiakil na kimtizamo kwa uelewa kuhusu maswala yahusuyo ujauzito
Ah ah ah ah ah ah nna mengi sana ila tutaharibu uzi wa watu ngoja nikatafute maswali uje hapa unisaidie kuyaeleza kisomi zaidMimi si ndio Maza House.....
Akikurabisha yeye, mtaishia kunywa soda kwa Mangi...