UZI MAALUMU:Wanaume wote wenye sura kuntu( sura za kiume) tukutane hapa:

UZI MAALUMU:Wanaume wote wenye sura kuntu( sura za kiume) tukutane hapa:

Ni aibu kwa mwanaume kuiga kwa binti aina ya bandiko.
 
Napenda wanaume wenye sura ngumu jamani..uwe mwanaume mrefu kifua kipana hivi ..unanikaza nakazika wallah nitakuibia passport size zote
SAY WHAT
tapatalk_1517596098051.jpeg
 
Kweli bwana mwanaume unatakiwa uwe na sura ngumu sura ya kiume
Umeongea ukweli, ila linapokuja swala la mahusiano, huwa mnatutenga sana unless tuwe na Pesa mingi
 
Back
Top Bottom